Nadhani hizi ni fikra ambazo watanzania wengi zinatawala vichwa vyetu and I think it is because our judgement is somewhat clouded by fear rather than wisdom. I do think like you kua ni vema kukaa kimya yaishe lakini pia najiuliza kama kila likitokea la kutokea option ni kukaa kimya yaishe je Tanzania, samahani, Tanganyika, ingalikua huru leo??? Nadhani jibu ni hapana kwani kama mzee Nyerere angekaa kimya na kuacha wakoloni waendelee kutesa na kuadhibu na kufanya yale waliyofanya kama ambavyo vitabu vya historia vinatuambia walifanya, basi waingereza wangeendelea kutawala na labda kungetokea mgawanyiko mwingine ambao labda ungeitwa "(name of the city)" conference, na yangeendelea mengine tusioweza kuyadhania sasa. Nikijaribu kufananisha scenario hii ya dokta na enzi ile ya ukoloni namwona dokta ni mtanzania anaelazimishwa kulima shamba la bepari na bepari mwenyewe ndio huyoo mtesi wake (kwa fununu za kitaa ni .........). So.,,, let him speak If he wishes to, he might be the nowdays Nyerere coz we already have the nowdays "Mangungo Msovero"z. Everything falls in place kama ambavyo ilitokea kwenye historia.