Kuiba nyaraka za Serikali siyo kitu kizuri, lakini ikiwa ni kwa maslahi ya Taifa haina tatizo hebu fikiria bila wizi wa nyara za Serikali leo hii fedha za EPA zingekuwa zinarudishwa?? Bila wizi wa nyaraka za Serikali leo hii Lowassa angekaa pembeni? Leo hii Rostam, Kalamaghi na watu kama hao wangekuwa wapo wapi?? Hata kama una maslahi ni bora ukae kimya kuliko kukaa unalinda ugonjwa mkubwa uliolipata taifa letu?
Hoja yako ina msingi na ina mashiko. Ni suala la morality vs legality! Linahitaji mjadala mpana. Tupanue mjadala na wengine watupe maoni yao.