Wanaanza mmoja mmoja.but cdm iwe makini tusije tukawa tunawafungulia zizi fisi wenye uchu tukidhani ni kondoo wenzetu, mwishowe tukakuta zizi halina kitu zaid ya mabaki ya mifupa na kinyesi cha chokaa.
Hasante gfsonwin,
CDM wanao mtiani kama walikuwa hawajajitayisha. Hawa wanaorukia jahazi la CDM wana lengo gani? Je wameafikiana na Falsafa pamoja na Sera za CDM? Wameisoma katiba ya CDM na kuilukubali? Miaka nenda rudi walikuwa wapi? Ninasema CDM wawe makini wanapowapokea wakimbizi, wadandiaji na ma-stoways na rejects wa kisiasa. CDM inaweza ikajikuta inatumika kama launching pad ya kuhitimisha ndoto za wazamiaji.
Wakati huu miaka mitatu kabla ya um nilitegemea CDM inamfahamu na kumtayarisha kila mgombea wa udiwani, ubunge - majimbo yote ya uchaguzi Tanzania. Nilitegemea sasa hivi CDM ipo vijijini kuwaeleza watz jinsi CCM ilivyo-hijack mchakato wa kutengeneza katiba mpya na kuwaongoza watz wafanyeje kurekebisha hili. Nilitegemea CDM wanayo skeleton ya katiba mpya ambayo watanzania wangetumia kama reference wakati wanajadiri katiba mpya itakuwaje.
Sifikirii kama haya ni too much wishing - kama kuna mwanaCDM amenisikia naomba anikosoe.