jamani cdm inakua/imekua na watu wameikubali,nimekuwa makambako na ilembula,,vjana wamenitundika bendera za cdm kwenye miti jirani na maeneo yao,wapo wanavaa scarf,wengine kofia(mizula) mwamko ni mkubwa. Chadema taifa angalieni namna ya kukipanua chama na kusambaza SUMU ya mabadiliko kwa kutengeneza kofia,bendera,scarf watu watanunua na kuzivaa,tulipofikia watu wana ona fahari kupeperusha chochote cha cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.