Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
Breaking News,
Jinamizi la Viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuhamia CHADEMA sasa limehamia Mwanza.
Diwani wa Kata ya Nyampulukano, Jimbo la Sengerema Mjini amehamia Chadema leo hii, Arusha Mambo itakatisha kwa muda matangazo yake kutoka Dodoma na kuwaletea mahojiano ya moja kwa moja na Diwani huyo kutoka Mwanza.
Saa ya ukombozi inanukia