Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 816
- 514
đź“… 03 Mei, 2024
đź“Ť Mwanza
Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amewasili Uwanja wa Ndege Mwanza usiku wa kuamkia tarehe 03 Mei, 2024 kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Wilaya ya Sengerema Ndg. Jane James Msoga.
Ndg Jane alifariki tarehe 01 Mei, 2024 katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Seko Toure na anatarajia kuzikwa Sengerema Mjini - Kata ya Nyampurukano Mei 03, 2024.
#UWTimara
#JeshiLaMama
#Kaziiendelee