Chatanda awasili Mwanza kushiriki mazishi ya Jane Msoga

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
816
514
IMG-20240503-WA0014.jpg

đź“… 03 Mei, 2024
đź“Ť Mwanza

Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amewasili Uwanja wa Ndege Mwanza usiku wa kuamkia tarehe 03 Mei, 2024 kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Wilaya ya Sengerema Ndg. Jane James Msoga.

Ndg Jane alifariki tarehe 01 Mei, 2024 katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Seko Toure na anatarajia kuzikwa Sengerema Mjini - Kata ya Nyampurukano Mei 03, 2024.


#UWTimara
#JeshiLaMama
#Kaziiendelee
 
Back
Top Bottom