Wengine wanasubiri nini kufuata nyayo? Lema ni mvuvi wa kweli mfuateni jama!
Matokeo ya kihuni ya kesi ya ubunge arusha urban.wamechokoza moto.God bless Godbless Lema!
Duuhu Tumshukuru Mungu kwa wenzetu kujua kwamba nyakati za ukombozi wa nchi yetu sio za kungoja tena ni sasa na wote tuwaunge mkono