Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Hivi wakuu mnazungumzia redio ipi? Clouds hii hii 88.4? hakuna la kushangaza hapo!
Dah, kumbe ni blah blah tu hapo! Nadhani ni kweli maana haijakaa vizuri watangazaji wawili wa kipindi kimoja kuondoka pamoja (Masoud na Fina).