fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,447
- 8,000
luambano wa clouds fm jana usiku,kwenye kipindi chao cha michezo,kasema simba shida zote zinaletwa na mo,hivyo wanachama wameambiwa waamka wamtake mo ama atoe hela au awaachie timu yao
Mpira ni biashara, gsm kaonyesha hivyo mo akiondoka itakuwa fursa kwa watu wengine kujitokeza.Kwangu mi naona hili suala la kumlaumu mo kwa kila jambo halina afya njema. Hatutaki turudi kule tulipotoka wakati Mhina Kaduguda anatoa pesa zake mkononi kununua Maharage na Chapati kwa ajili ya wachezaji wapate kifungua kinywa asubuhi. Muacheni Mo kwa ajili ya ukuaji wa soka letu.
Kuna clip iko mitandaoni anasikika akisema Kainunua Simba na Sio kawekezaMpira ni biashara, gsm kaonyesha hivyo mo akiondoka itakuwa fursa kwa watu wengine kujitokeza.
Jiulize wakati Sheria inasemaje wawekezaji wasiwe chini ya watatu kwanini anataka yeye peke yake awe mwekezaji.
Kwa hiyo hakuna wawekezaji wengine hapo 5imba zaidi ya Mwamedi? Mwamedi atoke halafu tuone kama hakutatokea watu wakuweka hela nyingi hapo 5imba.Kwangu mi naona hili suala la kumlaumu mo kwa kila jambo halina afya njema. Hatutaki turudi kule tulipotoka wakati Mhina Kaduguda anatoa pesa zake mkononi kununua Maharage na Chapati kwa ajili ya wachezaji wapate kifungua kinywa asubuhi. Muacheni Mo kwa ajili ya ukuaji wa soka letu.
Kama kainunua mbona Kila siku analalamika amekwamishwa mchakato wa uwekezaji, Nia yake ni kumiliki Simba na ameshaongea na baadhi ya wadau Ila kaongea vile kumpima upepo watu watachukuliaje alinunua SimbaKuna clip iko mitandaoni anasikika akisema Kainunua Simba na Sio kawekeza
Jazia jazia nyama mkuuKampuni zote za kihindi lazima kuwe na malalamiko ila wafanyakazi hawaachi kazi ...mhindi siku zote ana ajiri watu cheap
ni kweliKwangu mi naona hili suala la kumlaumu mo kwa kila jambo halina afya njema. Hatutaki turudi kule tulipotoka wakati Mhina Kaduguda anatoa pesa zake mkononi kununua Maharage na Chapati kwa ajili ya wachezaji wapate kifungua kinywa asubuhi. Muacheni Mo kwa ajili ya ukuaji wa soka letu.
kumalizia hoja hii,nawashauri viongozi wa simba,kukaa chini na kuongea kutatua matatizo yanayowakabilini kweli
Sawa problem is nani ataweka pesa???luambano wa clouds fm jana usiku,kwenye kipindi chao cha michezo,kasema simba shida zote zinaletwa na mo,hivyo wanachama wameambiwa waamka wamtake mo ama atoe hela au awaachie timu yao
Embu kaa kimya mkuu, hakuna kuwaamsha watu usingizini. Walitutesa sana kwa miaka minne hawa, acha na wao waonje joto ya jiwe.Na vipi kuhusu wachezaji (wazee na wale wenye mchango mdogo kwenye timu), Mangungu na Try Again! Hawa nao hawahusiki?