Nashaga!!!
You know what? wakisikiaga tunawin maisha hapa mujini wanatuonea jelosity. that's why wanataka kummariza kiaini kwa kuwa anapasua anga kama vire meri inavyokatiza zire anga za kaishozi
Last edited:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashaga!!!
Amekwenda likizo kidogo
Mkuu ulipotea kiaina. Watu wamekuchokoza zana humu ndani na mpwao. Haya twambie mkuu, kina mama ndo wa kuchukua likizo fupi peke yao? Au wamaanisha nini weye?
Mkuu nipo naandaa vekesheni fupi kidogo lakini nipo sana.
Yeah akina mama wanamajukumu mengi mno kuliko wanaume na wanafikiri mambo mengi na makubwa makubwa kuliko wanaume kwa hiyo akina mama ni wa kuwaonea huruma hata akisema amechelewa kazini mwonee huruma.
Lol! Mzee nilifikiri nilidhani unamaanisha ni kwa sababu ya ugeni wa wekundu wa kila mwezi.
Teh teh teh nao unachangia najibrekisha Mwakareli kwa Mwakalinga kula mindizi na maparachichi dah si n'chezo.
Mkuu kumbe uko mbali na benki kuu? Salimia Tukuyu. Huko utakutana na n'hangushage mwee za kumwaga.
Si unajua watoto wa kule laiiiiiini wanatumia vipodozi vya parachichi hawana gharama alafu wengi wao ni black beauty we acha tu lazima ni enjoy mkuu.
Usisaha na mausafiri yao ni BMW na makalio yao mashallah! Ukipata looser mmoja wa kueleweka usisahau kuniPM. Mbeya si mbali.
...Ni-PM mazee unitapatie mobile namba yake mtoto ana vitu adimu huyu!!
tujikumbushe hi thread