Massenberg
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 1,173
- 1,370
Je Wahindi waislamu nao wamo kwenye uzuzu huu? Vipi mbona dini zingine kama Hindu au Buddha zilizoko hapa nchini hatujasikia zikilalamikia mfumo Kristo?
Hawa waislamu kweli ni machizi, wanadhani hiyo misamaha ya kodi itawafikia wakati hawana kitu. Hawana hospitali za kutosha, shule, vyuo sio desturi yao halafu wanataka msamaha wa kodi. Hata hiyo misamaha ukifuatilia item kwa item utakuta misamaha ya waislamu mingi ni kwenye tende walizoingiza wakati wa mwezi mtukufu wakati upande wa pili ni kwenye madawa ya mahospitalini na vifaa vya kujengea vyuo na mashule.
Sina cha kuchangia mpaka nisome kitabu kizima word by word. No research, no right to write or speak.JUMAPILI HII Maelfu ya WAISLAM wamekutana katika ukumbi wa Diamond Jubilee na kuazimia namna nzuri ya kujitatulia matatizo yao yanayosababishwa na walichokiita "mfumo kristo".
Mada kuu ilikuwa ni kuzindua kitabu (cover and some pages attached) kinachotoa ushahidi wa madai yao na Pia wamechukua maazimio ya kujitatulia shida zao kwa njia iliyo nzuuuuuuuuri.
tukipata soft copy ya kitabu chote tutawarushia ma thinker wa jamii forums mkichambue.
JUMAPILI HII Maelfu ya WAISLAM wamekutana katika ukumbi wa Diamond Jubilee na kuazimia namna nzuri ya kujitatulia matatizo yao yanayosababishwa na walichokiita "mfumo kristo".
Mada kuu ilikuwa ni kuzindua kitabu (cover and some pages attached) kinachotoa ushahidi wa madai yao na Pia wamechukua maazimio ya kujitatulia shida zao kwa njia iliyo nzuuuuuuuuri.
tukipata soft copy ya kitabu chote tutawarushia ma thinker wa jamii forums mkichambue.
Hapa ndipo penye umuhimu zaidi! kama unaweza ku refute ushahidi walioutoa basi fanya hivyo au kaa kimya!Kunakipindi cha mwangaza wa jamii
Washiriki ni wasomi wa kiislam Pia ni wahadhiri wa Chuo kikuu cha waislam morogoro
Kinazungumzia kuhusu Hujuma za NECTA kuwafelisha waislam kwa makusudi. kinajaribu kutoa ushahidi na wanafunzi waliokumbwa na sakata hilo
ni FM 104.4