Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Status
Not open for further replies.

Babu Lao

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
2,044
179
Kila kukicha, unajitokeza ushahidi kwamba kiwango cha kufikiri miongoni mwa wa-Tanzania wengi ni duni. Siku hizi, kwa mfano, imeibuka hii dhana ya mfumo Kristo.

Walioibuni dhana hii na ambao wanaieneza wana ajenda ya kujenga hoja kuwa mfumo wa utawala na uchumi Tanzania unaendeshwa kwa misingi ya kiKristu, na kwa lengo la kuwanufaisha wa-Kristu na kuwakandamiza na kuwanyima wa-Islam fursa na haki wanazostahili, katika nyanja mbali mbali, kama vile elimu na uongozi.

Hii ndio dhana ya msingi ya hiki kinachoitwa mfumo Kristo. Wanaojenga hoja hii wanadai kuwa serikali ya Tanzania yenyewe inaendeshwa na maaskofu kama sehemu ya uendelezaji wa huu wanaouita mfumo Kristo.

Kwanza napenda kusema, kama ninavyosema daima, kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake. Uhuru huu ni pamoja na uhuru wa kuyahoji au kuyapinga mawazo ya wengine, kufuatana na mchakato wa kujielimisha na kutafakari masuala. Ni pamoja na uhuru wa kuyapinga mawazo yako mwenyewe.

Nashangaa kwa nini mfumo mbovu uhusishwe na jina la Yesu Kristu. Dini zote mbili, u-Islam na u-Kristu, zinamtambua na kumheshimu Yesu. Yesu anatambuliwa kama Mungu katika u-Kristu. Na katika u-Islam, anatambuliwa kama mtume maarufu. Dini zote zinamheshimu sana Yesu.

Kama mfumo wa Tanzania umeoza kama inavyosemwa, hauwezi kuwa mfumo Kristo. Kuuita mfumo Kristo ni dhihaka isiyo kifani. Huwezi kuuhusisha uchafu wowote na Mungu au mtume. Kama kweli maaskofu wanaendekeza na kuulinda mfumo wa dhuluma, wanakiuka mafundisho na maadili ya Kristo. Huu si mfumo Kristo. Mfumo Kristo ni mfumo wa haki na maadili aliyotufundisha Kristo.

Sidhani kama inahitaji akili ya pekee sana kuitambua hoja hii. Lakini ni wazi kuwa watu wengi Tanzania wana kiwango duni cha kufikiri au kuelewa mambo. Kwa dhana yao ya mfumo Kristo, wanaudhihaki u-Kristo, na pia wanaudhihaki u-Islam. Ila, kutokana na akili zao duni, hawatambui hilo. Kilichopo ni kuwaombea dua njema, waweze kujitambua na kujirekebisha.
 
jukwaa la dini would have been appropriate.. hapa kwenye jukwaa la siasa naona unataka kuchafua hewa tu!!
 
Tatizo la watanzania wengi awapendi kuumiza kichwa kwa kufikiri na kufanya milinganisho,lile linalo kuja mbele ndiyo wanalolitendea kazi kwa muda huo uliopo,kuna mambo mengi ya hovyo yamekuwa yakienezwa na wana siasa kuonyesha kuwa kuna udini.

Kwa mtu mwenye mawazo madogo yanamwingia lakini kwa mtu makini lazima ajiulize nini maana ya kauli hii,watanzania wenzangu naomba tuwe makini kwa kauli za hovyo za wanasiasa za kutaka kutugawa, suala la udini halipo hila ni mafisadi wanataka kutuchanganya tusifikirie mambo ya msingi ya taifa letu,naomba tuamke wakristo na waislamu tupinge uovu huu wa watu wachache ambao kwa umoja wetu kamwe hawawezi kushinda.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
jukwaa la dini would have been appropriate.. hapa kwenye jukwaa la siasa naona unataka kuchafua hewa tu!!

mie sidhani kama upo sahihi, kwani dini inayozungumzwa hapo chanzo chake ni siasa na ndio maana kaileta huku kwenye siasa. Na hata angeipeleka kwenye jukwaa la dini ungejibu vipi hoja yake, mwaga vitu. au ndo kusema ni ukweli mtupu usiopingika?
 
Thursday, 27 May 2010 10:21 0diggsdigg

Mussa Mkama
MAASKOFU waliohudhuria mkutano wa siku moja wa Jukwaa la Wakristo, juzi walifanya kazi ya ziada kupata nakala ya waraka ulioandaliwa na mwenyekiti wa Chama cha Kidemokrasia (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ambaye alitumia mkutano huoo kuusambaza.

Mkutano huo ulikuwa wa kuzindua chombo hicho kikubwa cha mshikamano baina ya Wakristo, lakini Mchungaji Mtikila, ambaye anaongoza kanisa la Full Salvation, aliutumia kugawa takriban nakala 60.
Alikuwa akigawa waraka ambao ulisababisha polisi kuvamia nyumba yake iliyo Mikocheni na kufanya upekuzi kabla ya kuondoka na mwanasiasa huyo ambaye pia ni kiongozi wa kiroho na kwenda kumuhoji kituo cha polisi kwa saa kadhaa zaidi ya mwezi mmoja uliopita.

Waraka huo wenye kurasa 24 ambao Mwananchi ina nakala yake, unazungumzia harakati za kuwaamsha waumini wa dini ya Kikristo kuamka kutetea dini yao dhidi ya utawala wa sasa ambao mchungaji huyo anautuhumu kuwa unawabagua.

Waraka huo pia unawataja watu mbalimbali, kuanzia Rais Kikwete, viongozi wengine wa kisiasa na watu maarufu ukiwahusisha na tuhuma mbalimbali kubwa.
Maaskofu kadhaa walionekana kumfuata Mtikila ili kupata nakala ya waraka huo ambao mchungaji huyo alikuwa amebeba nakala zake kwenye mkoba wa mkononi.

“Nilikuja na nakala chahe sana... 60 tu, zikaisha na wengine wakawa wanautaka tena," alisema Mtikila mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa kuzindua chombo hicho ambacho kazi yake kuu itakuwa ni kutetea haki za Wakristo.

"Nimegawa hapa kwa sababu viongozi wenyewe waliutaka ndiyo nikaona niwape; nisiwe mchoyo,” alisema Mtikila.

Mtikila alisema kuwa kuzinduliwa kwa jukwaa hilo ni kuzaliwa kwa tatizo kubwa kwa Rais Jakaya Kikwete na kumtaka ajihadhari, akidai kuwa ajira yake sasa ipo kwenye "danger zone (sehemu ya hatari).”
Mtikila, ambaye ana ujasiri wa kutoa kauli zisizo na simile, alisema jukwaa hilo ni gharika kubwa kwa Rais Kikwete kwa sababu alizodai kuwa kiongozi huyo wa nchi ni adui mkubwa wa Ukristo.

“Wakristo nchini tupo milioni 27 hivyo ajira ya JK hivi sasa ipo shakani," alisema.
Viongozi wa makanisa ambayo yalishirika katika kuunda jukwaa hilo ni pamoja na Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (Tec), Jumuiya ya Makanisa ya Kikristo (CCT) na Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste (PCT).
Ndugu mtanzania upo sahihi theoretically lakini practically hicho hapo juu nilichohighlight kwa red ndo kinachotendeka. tafakari, chukua hatua.
 
Haya mfungua maada
Nasubiri kupata uwiano wa kweli...... il a hilo la nyama ndio linaniacha hoi
 
Hizi mada za mara mfumo kristo mara mafumo islamu havitusadii kitu. Ni kama ushindani usiokuwa na maana na mwisho wake hakuna mshindi isipokuwa pande zote kubaki na maumivu tu. Tuangalie mambo ambayo yanaweza kutuunganisha zaidi kuliko kuangalia mambo yanayotugawa. Kwa sasa tungekazania katiba.
 
tusikimbie kivuli chetu, mihadhara inaendeshwa kuhusu mfumo Kristo ambao hau exist, na hata huu mfumo islam hau exist pia , ni watu tu wanatafuta sababu badala ya kupiga shule
Ok, endeleeni na malumbano....
Nilikosea njia! Kumradhi, wajameni!
You are doing a wonderful job! You are truly CCM ambassadors!
 
Mfumo islam look somalia.angalia N.sudan wanavyo watesa south waislam mna asil ya Ubaguzi tena ule mbaya sana,kwa taarifa yenu muslim wil never conqurer this world by any means. Endeleeni kujilipua ,kuamini mapepo,kuoa vitoto,na lile neno la "kiyama"mko kwenye kiyama chenu wenyewe hapa duniani sajawahi ona imani inayoeleza uongo kama muslim .mna vurugu za maono sana.
 
1. Propaganda za waislamu kuwa kuna mfumo kristo ni unafiki na upotoshaji mkubwa

2. Tanzania tuna mfumo islamu proof yake ni uongozi wa nchi kushikiliwa na waislamu (rais, makamu wa rais-muungano), visiwani viongozi wa ngazi za juu wote waislamu.......ni ukweli hamna longolongo

3. Mfumo islamu uliishashindwa, proof yake ni maandamano ya kuwang'oa viongozi wao kote ktk nchi za kiarabu.........
---watu wengi wanaamini kuwa dunia bila uislamu eti ingekuwa sayari salama sana pa kuishi

kuna mtu anataka mfumo islamu uendelee?

hii mada si mahala pake... au umetumwa na chama kuja kuvuruga JF.. Maana CCM itikadi yao ni udini ndani ya chadema.. udini ndani ya siasa kila mahala wanaleta udini.. ili issues za maana zisiwe discussed
 
hii mada haina tija kwetu sote, tumeoleana tumezaliana tunaishi nyumba za kupanga pamoja, tunazikana na mambo meengi. yako mengi ya maana ya kujadili hili halijengi zaidi ya kutuacha sote hakuna aliye pata faidi. NAWASIHI WANAJF TUACHANE NALO.
 
1. Propaganda za waislamu kuwa kuna mfumo kristo ni unafiki na upotoshaji mkubwa

2. Tanzania tuna mfumo islamu proof yake ni uongozi wa nchi kushikiliwa na waislamu (rais, makamu wa rais-muungano), visiwani viongozi wa ngazi za juu wote waislamu.......ni ukweli hamna longolongo

3. Mfumo islamu uliishashindwa, proof yake ni maandamano ya kuwang'oa viongozi wao kote ktk nchi za kiarabu.........
---watu wengi wanaamini kuwa dunia bila uislamu eti ingekuwa sayari salama sana pa kuishi

kuna mtu anataka mfumo islamu uendelee?

Fikra mbinuko
 
Halafu sasa waislamu janja yao wakati wote ni kulalamika huku wakijua nafsini mwao kuwa wanasema uongo.........
 
Nashukuru umekumbusha mfumo islam mwingine km huu ambao mimi nikifikiria sana huwa nachukia kupita kiasi...........kwa nini waislamu watuchinjie nyama eti......alafu kule mikoani mbona tunachinja wenyewe bila kutumia huu mfumo islamu?...........jamani ubaguzi huu wa kidini hapa tz unatokana na nini hasa?.........naamini wakristo wangekuwa ndiyo wachinjaji km ilivyo sasa kwa waislamu zamani maandamano yangekwisha kufanyika

halafu jamaa sijui kwanini wanapenda kuchinja mabuchani!?
Wanapenda sana nyama mashehe ubwabwa!
 
Ndiyo maana bila hii dini dinia inge-enjoy sana maisha lakini ukitaka kufanya mabo yako lazima ufikiria madhara ya uislamu.....
-ukitaka kusafirisha mzigo wako toka ng'ambo kwa njia ya bahari unakumbuka waislamu maharamia wa kisomali
-ukitaka kuwa busy na shughuli unakuta muislam yeye anakaa tu vijiweni na kunywa chai lakini maisha yake mazuri
.......

mfumo islam look somalia.angalia n.sudan wanavyo watesa south waislam mna asil ya ubaguzi tena ule mbaya sana,kwa taarifa yenu muslim wil never conqurer this world by any means. Endeleeni kujilipua ,kuamini mapepo,kuoa vitoto,na lile neno la "kiyama"mko kwenye kiyama chenu wenyewe hapa duniani sajawahi ona imani inayoeleza uongo kama muslim .mna vurugu za maono sana.
 
Status
Not open for further replies.
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom