Khaaaaa!
Aaagh Dena vp tena...ile post ya posa la uchumba uliikubali maguu 100...tulijaribu kukutetea,ukatu-diss ukadai tuna wivu kwani we ni msichana lazima uolewe...sasa leo vp ??mbona na wewe waanzisha sredi nyingi ku-complain same??umezijibu kwa kunoga na watu nao wamenogewa....kwanini isiwe kwa Afrodenzi au Preta au pauline,au lizzy au mwanajamii 1 na wengine??hawa hawataki mambo ya kijingajinga na wanajua kudeal na hivi vifataki!!ndio maana hukuti mada za ajabu kuhusu hao watu.
Nahisi more is coming if u dnt take right measure on tht..sijui ukiona fahari ama??imekula kwako!!
Dena bana
Yaani unaji-Vodacom mwenyewe????
Najua unatania tu, na hapa unaburudika kimoyo-moyo
Yaani hapa unafanya SITAKI halafu moyoni NATAKA
Njia unazijua kama uko serious. Mods wapo kibao, wanaoanzisha unawajua
Au ndo yale ya Sumaye na UVCCM??? teh he he he he he
Nawe naye
umezidisha sasa
kha si inatosha...umeweka karibu poster5 kwa
Mpigo... embu pumzika
Kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza!!Ni jinsi gani unakubalika kwa wana Jamii nijambo lakujivunia usione ni karaha!