sijuikitu
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 286
- 12
Naibu Speaker alionekana kwenye TBC katika maongezi akiwa na Mbowe....akasema kuwa demokrasia ni DICTATORSHIP OF THE MAJORITY.
Kwa kweli demokrasia ya "dictatorship of the majority" au "tyranny of the majority" ni demokrasia ya wanyama na watu wasio wastaarab.....watu wenye akili zao, wastaarab na wenye hekima wanafahamu kuwa sio kila saa wengi wanakuwa sahihi.
Na pia, watu wastaarab huwa pia wanaangalia na kuvalue maoni ya wachache. Taifa haliundwi na watu wengi tu, linaundwa na majority + minority. Na wote wana haki ya kisikilizwa na every now and then maoni yako kutiliwa maanani.
Naibu Speaker nitafute nikufundishe vitu vichache kuhusu demokrasia.
Kwa kweli demokrasia ya "dictatorship of the majority" au "tyranny of the majority" ni demokrasia ya wanyama na watu wasio wastaarab.....watu wenye akili zao, wastaarab na wenye hekima wanafahamu kuwa sio kila saa wengi wanakuwa sahihi.
Na pia, watu wastaarab huwa pia wanaangalia na kuvalue maoni ya wachache. Taifa haliundwi na watu wengi tu, linaundwa na majority + minority. Na wote wana haki ya kisikilizwa na every now and then maoni yako kutiliwa maanani.
Naibu Speaker nitafute nikufundishe vitu vichache kuhusu demokrasia.