radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Si utani Davido anajuta kuwafahamu Sony!
Hilo ndio fundisho kwa wasanii wengine, wajiulize kwa nini wenzao wanaoshine zaidi yao hawataki kusaini na haya makampuni ya ulaya.. Haya makampuni ni opportunists na dizaini flani wanyonyaji! Kwa Africa hawawezi muziki wetu afadhali tu mtu ukomae na kina Mobenga na kina Babu Tale..
Kweli mkuu member humu walilipeleka ki team zaid sasa wataona huo mfano kwa davido