man pog
Member
- Apr 8, 2020
- 13
- 16
Hivi mnaonaje kuhusu huyu mwamba Young Lunya kusainiwa Sony music Africa kunaweza kuwa na faida kwake au ndo amepoteza maana kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba wasanii wengi wa Tanzania walio sainiwa na label hiyo wengi wamepotea mfano
Baraka da prince,
Vanessa Mdee,
Ommy Dimopzi,
Kidogo kwa huyu Diamond yeye alishtuka mapema akaepa na nafikiri ata Ali Kiba pia aliliona Hilo.
Baraka da prince,
Vanessa Mdee,
Ommy Dimopzi,
Kidogo kwa huyu Diamond yeye alishtuka mapema akaepa na nafikiri ata Ali Kiba pia aliliona Hilo.