DOKEZO DC Magembe (Geita) ni muongo, anastahili kuchunguzwa na mamlaka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
🤣🤣 Wameamua warushiane mikombora livelive
Mkurugenzi aende pale Bukoli kuna Mzee mmoja wa Kisumbwa atamrekebisha DC ndani ya muda mfupi.

Wasumbwa wanaijua Mizizi mwitu.👹
 
Umefanya jambo jema sana kuweka ushahidi huo wa kinyaraka maana mimi mwenyewe niliona ni kama kuna jambo halijakaa sawa ,maana isingewezekana DED asafiri tu kienyeji.
CCM kupo shwari, naikumbuka hii kauli yako.

DC ni CHADEMA huyo, hayupo shwari
 
Mkurugenzi aende pale Bukoli kuna Mzee mmoja wa Kisumbwa atamrekebisha DC ndani ya muda mfupi.

Wasumbwa wanaijua Mizizi mwitu.👹
Unadhani mkurugenzi kakaa kiboya?ukute hata hiyo safari ya china kaenda Kwa Shaolin monks kuongeza nguvu
 
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi

Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.

Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa kufuata taratibu zote na gharama za safari hiyo hazikulipwa na serikali bali waliomwalika (angalia kiambatanisho hapa chini).

View attachment 2797135
View attachment 2797136
View attachment 2797143

Sasa, PCCB mchunguzeni vema huyu DC kwani anafanya biashara ya madini na kwa sasa anakusanya hela akagombee ubunge huko Chato ila hakubaliki kwani wanamuona ni kiburi, mtata na mgomvi.

Mamlaka zitakuwa na taarifa kuwa aliwahi kumchapa makofi DED alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe!

Huyu ni mtu mmoja wa maigizo. Akiwa DC wa Ukerere enzi za Awamu ya Tano (2019) aliwahi kuibuka na madai yaliyolenga kuwachafua wenzake na kumfanya yeye aonekane mchapakazi mbele za mamlaka.

Wakati huo alidai zaidi ya shilingi milioni 881 za Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu akiwachafua watu sita akiwemo Mganga Mfawidhi wa Wilaya wa wakati huo (Revocatus Cleophace) huku akitoa siku 14 kwa Mkurugenzi wa Wilaya (wakati huo alikuwa Ester Chaula), Mweka Hazina na Afisa Mapato wa Halmashauri hiyo kurudisha pesa hizo.

Angalia hapa:


View: https://www.youtube.com/watch?v=h5Ak9ves9dE

Sasa kwanini hajampa taarifa dc wake kama huko kote ametoa taarifa
 
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi

Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.

Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa kufuata taratibu zote na gharama za safari hiyo hazikulipwa na serikali bali waliomwalika (angalia kiambatanisho hapa chini).

View attachment 2797135
View attachment 2797136
View attachment 2797143

Sasa, PCCB mchunguzeni vema huyu DC kwani anafanya biashara ya madini na kwa sasa anakusanya hela akagombee ubunge huko Chato ila hakubaliki kwani wanamuona ni kiburi, mtata na mgomvi.

Mamlaka zitakuwa na taarifa kuwa aliwahi kumchapa makofi DED alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe!

Huyu ni mtu mmoja wa maigizo. Akiwa DC wa Ukerere enzi za Awamu ya Tano (2019) aliwahi kuibuka na madai yaliyolenga kuwachafua wenzake na kumfanya yeye aonekane mchapakazi mbele za mamlaka.

Wakati huo alidai zaidi ya shilingi milioni 881 za Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu akiwachafua watu sita akiwemo Mganga Mfawidhi wa Wilaya wa wakati huo (Revocatus Cleophace) huku akitoa siku 14 kwa Mkurugenzi wa Wilaya (wakati huo alikuwa Ester Chaula), Mweka Hazina na Afisa Mapato wa Halmashauri hiyo kurudisha pesa hizo.

Angalia hapa:


View: https://www.youtube.com/watch?v=h5Ak9ves9dE

Huyu jamaa ana akili sana tena sana. Mungu amlinde. Anafaa kuwa kiongozi mkubwa zaidi wa maamuzi
 
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi

Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.

Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa kufuata taratibu zote na gharama za safari hiyo hazikulipwa na serikali bali waliomwalika (angalia kiambatanisho hapa chini).

View attachment 2797135
View attachment 2797136
View attachment 2797143

Sasa, PCCB mchunguzeni vema huyu DC kwani anafanya biashara ya madini na kwa sasa anakusanya hela akagombee ubunge huko Chato ila hakubaliki kwani wanamuona ni kiburi, mtata na mgomvi.

Mamlaka zitakuwa na taarifa kuwa aliwahi kumchapa makofi DED alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe!

Huyu ni mtu mmoja wa maigizo. Akiwa DC wa Ukerere enzi za Awamu ya Tano (2019) aliwahi kuibuka na madai yaliyolenga kuwachafua wenzake na kumfanya yeye aonekane mchapakazi mbele za mamlaka.

Wakati huo alidai zaidi ya shilingi milioni 881 za Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu akiwachafua watu sita akiwemo Mganga Mfawidhi wa Wilaya wa wakati huo (Revocatus Cleophace) huku akitoa siku 14 kwa Mkurugenzi wa Wilaya (wakati huo alikuwa Ester Chaula), Mweka Hazina na Afisa Mapato wa Halmashauri hiyo kurudisha pesa hizo.

Angalia hapa:


View: https://www.youtube.com/watch?v=h5Ak9ves9dE

Wala DC Hakusema hana vibali , bali ametaka Takukuru wachunguze kama ziara hizo zina tija yoyote .
 
Back
Top Bottom