days to remember!!!!

heshima mbele wana chit chat, nina imani kila mmoja wetu hapa ana siku 2 ambazo hatazisahau maishani mwake.
1st. ni siku ya furaha, hii siku ambayo ulifurahi furaha isiyo na kifani. . .
2nd. hii ni siku uliyopatwa huzuni hakuna mfanowe!
tiririkeeni wadau ni siku zipi na kwanini ulifurahi / ulihuzunika?????

Mimi siku ya kwanza kabisa ambayo sitasahau katika maisha yangu ni siku nilipojua kukojoa! Ili kuwa siku muhimu sana.
Siku ya pili ambapo sita isahau ni siku ambayo Daudi Mwangosi aliuawa na jeshi la polisi. Ni unyama ambao umenigusa sana, sitarajii kuuona tena.
Mkuu Erickb52 Ayumi wangu alikuwa zaidi ya mbwa, nayo nitaikumbuka kaka! Niliambiwa siku hiyo kuna wahehe walipita pita maeneo wamenifanyia usanii
 
Last edited by a moderator:
Dah siku ya furaha ni pale nilipoona baraka za Mungu live zikinimwagikia kwa fujo bila kutarajia.....!
Sitasahau milele!
Huzuni mh

Ziko nyingi............mojawapo ni niliyokutana na Erickb52 japo kanisusa hata salamu kwa njia ya simu. Huzuni ni alipokamatwa na kusweka rumande............yaani sitasahau siku ile ya furaha iliyochanganyikana na huzuni
 
Last edited by a moderator:
1. Siku ambayo sitasahau ni siku ambayo nabarikiwa ( first communion). lo lo lo lo sikulala siku hiyo...usingizi hakupatikana nakumbuka usiku ule..Halafu kila baada ya masaa kadhaa usiku nilikuwa naamka nachungulia suti yangu kama ipo na viatu
( Foengo).. Asubuhi nahisi mi ndi nilikuwa wa kwanza kuamka...Hkyanani sitasahau..

2.......hiyo next time..
 
Niliiba gari usiku huyo kutoka Upanga kwenda Tegeta nafika africana nikataka vuka bila angalia upande mwingine nilisikia poooooooo nikapeleka upande wa baiskeli zinapopaki sijui lingenibamiza ningejibu nn kwsnza ni saa tano usiku
Mungu mkubwa aisee pake alinionya sijafanya tena upuuzi huo na sitaki rudia

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mimi siku ya kwanza kabisa ambayo sitasahau katika maisha yangu ni siku nilipojua kukojoa! Ili kuwa siku muhimu sana.
Siku ya pili ambapo sita isahau ni siku ambayo Daudi Mwangosi aliuawa na jeshi la polisi. Ni unyama ambao umenigusa sana, sitarajii kuuona tena.
Mkuu Erickb52 Ayumi wangu alikuwa zaidi ya mbwa, nayo nitaikumbuka kaka! Niliambiwa siku hiyo kuna wahehe walipita pita maeneo wamenifanyia usanii
pole Mungi kwa matukio ma2 yakusikitisha
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom