CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #41
Ziko nyingi............mojawapo ni niliyokutana na Erickb52 japo kanisusa hata salamu kwa njia ya simu. Huzuni ni alipokamatwa na kusweka rumande............yaani sitasahau siku ile ya furaha iliyochanganyikana na huzuni
duh,hapo umeniacha kwenye yale mataa karibu na s.h amon. siku ya huzuni ya kuwekwa rumande ikachanganyikana na furaha how?
Last edited by a moderator: