CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
heshima mbele wana chit chat, nina imani kila mmoja wetu hapa ana siku 2 ambazo hatazisahau maishani mwake.
1st. ni siku ya furaha, hii siku ambayo ulifurahi furaha isiyo na kifani. . .
2nd. hii ni siku uliyopatwa huzuni hakuna mfanowe!
tiririkeeni wadau ni siku zipi na kwanini ulifurahi / ulihuzunika?????
1st. ni siku ya furaha, hii siku ambayo ulifurahi furaha isiyo na kifani. . .
2nd. hii ni siku uliyopatwa huzuni hakuna mfanowe!
tiririkeeni wadau ni siku zipi na kwanini ulifurahi / ulihuzunika?????