sasa kama ni mtoto wa Cleopa Msuya, kwa nn akaenda kugombe ubunge Same, na sio Mwanga nyumbani kwake?
................ KWANINI UKANE JINA LA UKOO WAKO...............
Mkitaka kujua utundu na ujinga wa Mathayo muulizeni Prof Batamuzi, alimtimua na sindano yenye anasthesia ya large animals kisa kamuambia ushafeli siku ya pepa, km si kuwa mtoto wa mkubwa ingekuwa chuo hana.
Kweli kitu usichokifahamu ni kama usiku wa giza!! Bora uulize kuliko kubisha............ inaelekea wewe ni mtoto wa juzi juzi. Kwa taarifa tu Cheyo alishawahi kuwa mbunge wa Magu miaka ya 90!!
Mathayo David ni mtoto wa Waziri mkuu mmoja mstaafuHuyu bwana anakufukuza wachimbaji wadogo wote songwe kwa madai kuwa amenunua maeneo yote ya uchimbaji! Sasa hawa wachimbaji wachimbe wapi?haya masoko ya dhahabu yatanunua dhahabu toka wapi?...serikali inawezaje kumuuzia mtu mmoja maeneo yote wakati wanajua huku hamna mashamba wala shughuli yoyote nyingine zaidi ya uchimbaji?
Ni tapeli mmoja hivi wa kisiasa...jimbon same magharibiHuyu bwana anakufukuza wachimbaji wadogo wote songwe kwa madai kuwa amenunua maeneo yote ya uchimbaji! Sasa hawa wachimbaji wachimbe wapi?haya masoko ya dhahabu yatanunua dhahabu toka wapi?...serikali inawezaje kumuuzia mtu mmoja maeneo yote wakati wanajua huku hamna mashamba wala shughuli yoyote nyingine zaidi ya uchimbaji?
Sasa ukimtaja kina huyo waziri mkuu utakufa? Unaogopa nini Sasa???🤬😡😡😡Mathayo David ni mtoto wa Waziri mkuu mmoja mstaafu
Sijui tamaa au ni nini, kuna time lazma aangalie wananchi wanyonge wanaotafuta only kulisha familia zao hata kama amekuja kupanunua kwa influence ya baba, ubunge wake ama ukwasi wake. Hamna aliyezikwa na hela, soote tunaziacha..
Penda wanadamu wengine..
Mkuu, kama ameuziwa hayo maeneo yote kama ulivyodai, kwanini asiyatumie kwa kadri inavyompendeza ?Huyu bwana anakufukuza wachimbaji wadogo wote songwe kwa madai kuwa amenunua maeneo yote ya uchimbaji! Sasa hawa wachimbaji wachimbe wapi?haya masoko ya dhahabu yatanunua dhahabu toka wapi?...serikali inawezaje kumuuzia mtu mmoja maeneo yote wakati wanajua huku hamna mashamba wala shughuli yoyote nyingine zaidi ya uchimbaji?