Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
acha uongo,kama huna uhakika sio lazima uchangie.
Wewe unadandia treni kwa mbele, niambie John Komba kwao wapi?
Niambie Joseph Mbilinyi kwao wapi? Usitake kuanziasha malumbano,
ambayo wala hayatakusaidia...