Hayo maswalio uliouliza juu ya Mbowe yaulize tena kuhusu Kikwete tuone majibu utakayopata.Mkandara,
Hizo ulizoandika hapo sio sifa za kiongozi aliyetaka apewe nchi na sasa anaongoza chama chenye vijana waliomzidi elimu.
Kwa nini basi anaendelea kung'ang'ania madaraka kama anaongozwa na wapambe, anafikia maamuzi mazito bila kuyadadisi na sio inteligent?