mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 816
Mimi huwa namshangaa sana Ritz! Hata kama ni muislamu wa siasa kali uislamu wetu hauna chuki na upande wa pili namna hiyo! Kwanza muislamu yoyote uislamu wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa ukristo kama jinsi ukristo unavyotambua uwepo wa uislamu! Uelewa mdogo ndio unamfanya Ritz anakuwa mbumbumbu wa mambo ya dini kiasi hiki!
Hapa leo anawatetea ccm na kusahau kuwa ccm ndio waliichafua cuf kuwa ni chama cha udini n
a kigaidi, baadae haohao wakasema chadema ni chama cha wakristo lakini wao hawasemi kuwa ni chama cha dini gani! Sasa ukija hapa ukimuona jinsi ritz anavyotoa povu la udini unajua kabisa aidha uelewa wake ni mdogo au yuko hapa kwa kazi maalum ya kipato kutoka Lumumba.
Mimi ni muislamu lakini napingana sana na misimamo ya Ritz! Alisha diriki kuniambia Mohamedi na chadema wapi na wapi?! Huu ni upovu iliopiitiliza na tangu siku ile niliamua kumsamehe bure na kumkabidhi Mungu maana nimeona ni mtu ambae ana uabisha hata uislamu wenyewe.
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
Yaani wewe unashangaza sana, katika hao hao walokupa like angalia hii post mtu amecomment "Hivi hakuna msajili wa dini Tanzania?
Labda angekuwepo angefuta dini ya uislamu kwenye kumbukumbu zake...lol!"
Hao ndio marafiki zako unaowatetea na kujiita eti wewe ni musilam unasikitisha na kutia imani sana ... nina wasiwasi na uislamu wako! wao wewe hawakutambui na wameenda mbali wanataka uislamu ufutwe , wewe unataka uwatambue ! loh! pole sana kijana !nadhani unafurahisha barza weyye!