nyamchele
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 1,309
- 1,009
Mbona Kibamba haipo?
Matokeo bado.....
Mbona Kibamba haipo?
Wakuu wa mabadiliko tulizaneni mambo mzuri yapo angani. Tuwasubiri NEC watangaze mpaka wakifika kikomo sisi tuwaonyeshe kwamba tupo na tuna weza." No COMMENT's "
Mdee win confirm
:eek2: ujue unachosema ni uvunjaji wa sheria? ungetakiwa kuwaeleza usalama haraka iwezekanavyo. sasa saa hizi utawezaje ku ripoti?
Majimbo yote ya Dar ambayo bado hayajatangazwa.. ni kuwa UPINZANI yamechukua tayari... ikiwemo KINONDONI, TEMEKE, MBAGALA, KIBAMBA... KAWE... ila CCM wanaleta figisufigisu zao...!!! Tena wameshindwa vibaya...!!! Mfano kama Ubungo, KUBENEA kashinda, Ila CCM wamebanaaaaaaaaaaaa usiku na mchana...!!! Mwishoe... KUBENEA, CHADEMA katangazwa leo...!!!
So, nina uhakika, jimbo la Kigamboni na Ilala tu ndio CCM wameshinda... na ILALA Zungu kashinda kwa KURA CHACHE SANAA SANAAAAAAAA... yaani Hassanali ni mshindi kwa jinsi ilivyo kuwa...but ndio hivyo...!!!
vipi waitara matokeo yake!
Gia za angani again,,
Habari ziwafikie wale kina kaka na dada.....Numpties!
Habari ziwafikie wale kina kaka na dada.....Numpties!
[/QUOTE
Nitakaa sawa kama JJMnyika atashinda mshinda
Huyu dada pamoja na kuwa ni mchapa kazi ana roho ya kupendwa.Moyo wangu umetulia
...eti kippi kanuna, anunie nini wakati uchaguzi hauna mwenyewe?!