Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

MBAGALA:

Mabomu ya machozi yanapigwa kuwatawanya wananchi waliokuwepo Shule ya Msingi Maji Matitu.

Hivyo Polisi wameingilia kati kuweka hali ya usalama pale Mbagala
 
Mungu akulinde Halima....!!!

Kippi Warioba aondoka kituoni, amesema hakubaliani na MATOKEO..
kwani MKURUGENZI atamtangaza HALIMA MDEE...!!! ITV live dak. chache watatangaza Halima kashinda kwa kiwango gani...!!

Mungu yuko nasi...!!!


ooops nimeshindwa kuzuia machozi yangu.

Hongera sana kamanda wetu wewe ni jembe la uhakika .

Kweli wewe dada nimekunyooshea mikono. natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kukurudisha tena bungei

Mwenyezi mungu akutangulie Jembe letu
 
Mdee alizungumza na mwandishi wa Azam tv akieleza jinsi kawe ccm walivyokuwa wamepanga kuchakachua matokeo, bila ubishi ccm ndio chanzo cha vurugu.
 
Alliance academy ya Mwanza wamepiga Kura shule ya Sekondari na Msingi .... Kila mmoja alikuwa anajiuliza waliandikishwa je? kwa vigezo vipi? UKAWA hapa wana kusi nzuri sana ... Bukoba nayo ilikuwa vivyo hivyo ...

:eek2: ujue unachosema ni uvunjaji wa sheria? ungetakiwa kuwaeleza usalama haraka iwezekanavyo. sasa saa hizi utawezaje ku ripoti?
 
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka jiji la Dar es Salaam. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

Mkoa wa Dar Es Salaam una jumla ya majimbo ya uchaguzi 10 ambayo ni;

Ukonga :
Ilala: Mussa Azzan Zungu wa CCM ameshinda kwa kupata kura 35,518 dhidi ya Hassanal Rajabal wa CHADEMA aliyepata kura 32,333.
Segerea:
Temeke:
Kigamboni: Faustine Ndugulile(CCM)
Mbagala:
Kawe :
Ubungo: Saed Kubenea(CHADEMA)
Kibamba:
Kinondoni:


ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mbona Kibamba haipo?
 
Wakuu wa mabadiliko tulizaneni mambo mzuri yapo angani. Tuwasubiri NEC watangaze mpaka wakifika kikomo sisi tuwaonyeshe kwamba tupo na tuna weza." No COMMENT's "
 
Wana KAWE wakifanya ujinga wa kumuondoa MDEE watajuta maisha yao yote..bunge bla mdee,zitto,tundulisu,mnyika..hakuna ktu.
 
Huyu Kippi na CCM walininyima usingizi sasa ni talala vizuri. Hongera Jembe Mdee.


Sasa bado Mnyika.
 
Kiukweli kinacofanyika kawe ni uvunjifu wa amani ila sasa hao nec wanafurahia sana na kushadadia kutangaza matokeo ya ccm na sio ya upinzani hawa tangazi

kwa david kafulila napo hivyo hivyo sasa huu ni uhuni
 
Naangalia Channel 10... Kippi Warioba kakubali kushindwa na anamtakia heri Halima Mdee. Kisha akaondoka kwenye eneo la tukio.
 
Majimbo yote ya Dar ambayo bado hayajatangazwa.. ni kuwa UPINZANI yamechukua tayari... ikiwemo KINONDONI, TEMEKE, MBAGALA, KIBAMBA... KAWE... ila CCM wanaleta figisufigisu zao...!!! Tena wameshindwa vibaya...!!! Mfano kama Ubungo, KUBENEA kashinda, Ila CCM wamebanaaaaaaaaaaaa usiku na mchana...!!! Mwishoe... KUBENEA, CHADEMA katangazwa leo...!!!

So, nina uhakika, jimbo la Kigamboni na Ilala tu ndio CCM wameshinda... na ILALA Zungu kashinda kwa KURA CHACHE SANAA SANAAAAAAAA... yaani Hassanali ni mshindi kwa jinsi ilivyo kuwa...but ndio hivyo...!!!
 
Back
Top Bottom