Kawe ,Kawe ,Kawe tunataka kujua kuhusu Halima Mdee
Mungu akulinde Halima....!!!
Kippi Warioba aondoka kituoni, amesema hakubaliani na MATOKEO..
kwani MKURUGENZI atamtangaza HALIMA MDEE...!!! ITV live dak. chache watatangaza Halima kashinda kwa kiwango gani...!!
Mungu yuko nasi...!!!
Alliance academy ya Mwanza wamepiga Kura shule ya Sekondari na Msingi .... Kila mmoja alikuwa anajiuliza waliandikishwa je? kwa vigezo vipi? UKAWA hapa wana kusi nzuri sana ... Bukoba nayo ilikuwa vivyo hivyo ...
Mbona Kibamba haipo?Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka jiji la Dar es Salaam. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Dar Es Salaam una jumla ya majimbo ya uchaguzi 10 ambayo ni;
Ukonga :
Ilala: Mussa Azzan Zungu wa CCM ameshinda kwa kupata kura 35,518 dhidi ya Hassanal Rajabal wa CHADEMA aliyepata kura 32,333.
Segerea:
Temeke:
Kigamboni: Faustine Ndugulile(CCM)
Mbagala:
Kawe :
Ubungo: Saed Kubenea(CHADEMA)
Kibamba:
Kinondoni:
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
:eek2: ujue unachosema ni uvunjaji wa sheria? ungetakiwa kuwaeleza usalama haraka iwezekanavyo. sasa saa hizi utawezaje ku ripoti?
Mungu akulinde Halima....!!!
Kippi Warioba aondoka kituoni, amesema hakubaliani na MATOKEO..
kwani MKURUGENZI atamtangaza HALIMA MDEE...!!! ITV live dak. chache watatangaza Halima kashinda kwa kiwango gani...!!
Mungu yuko nasi...!!!
Eti kidume tena mtoto wa aliyekuwa PM anayejipambanua kama muadilifu wa waadilifu kinashindwa vibaya na mwanamke alafu kinalazimisha kuiba kura ili kupata ubunge!
UPDATES FROM OYSTERBAY:
Hatimaye Halima Mdee mgombea wa CHADEMA katika jimbo la kawe ametangazwa Rasmi kuwa ni mshindi wa kiti cha Ubunge.
Kawe ,Kawe ,Kawe tunataka kujua kuhusu Halima Mdee
Waitara VIVA toka ALFAJIRI leo mkuu