Hili jimbo nadhani litanipa ujiko binafsi na nitajulikana nchi nzima, natafuta hoja za kisheria za kuipandisha NEC mahakamani, nahitaji msaada wa docs kutoka Chadema zikithibitisha mgombea wao kama alijitowa kwa kufuata matwaka ya kisheria za uchaguzi, kama ushahidi huo Chadema wanao nitaomba tafsiri mahakamani ni nini malengo ya NEC Kumuweka mtu ambaye si mgombea kwenye list ya wapigiwa kura?
Mliokelwa na hili naomba mniunge mkono kama hoja za kisheria zipo mimi nitafunguwa kesi hii kama mpiga kura wa Segerea, muda wa kuishi kama makondoo umepita.
UBUNGE KAWE: Mkurugenzi msaidizi wa Jimbo la Kawe, Onesmo Kayamba amesema matokeo ya ubunge kwa jimbo hilo yatatangazwa saa 8 mchana.
// Mkurungezi wa uchanguzi jimbo ya kawe mwenye update // au namba yake ya simu anirushie nipate matokeo
Prof. Jay ametangazwa kuwa
mbunge mteule wa jimbo la
Mikumi kupitia Chadema baada
ya kupata kura zaidi ya 32000
huku mpinzani wake Jonas Nkya
wa CCM akipata kura 30941
kaka tatizo litakuwa kama alijitoa wakati ambao muda wa kujitoa kisheria ulikuwa umepita i think kabla ya kurudisha fomu kama fomu yako ilirudi basi NEC wanakuchukua kama mgombea na jina lako litatoka kwenye ballot paper. kulikuwa na shida sababu huyo dada kaandika barua wakati kampeni zimekwisha anza. ila kama kutakuwa na ufumbuzi wa kisheria kwa kweli tutakuunga mkonoHili jimbo nadhani litanipa ujiko binafsi na nitajulikana nchi nzima, natafuta hoja za kisheria za kuipandisha NEC mahakamani, nahitaji msaada wa docs kutoka Chadema zikithibitisha mgombea wao kama alijitowa kwa kufuata matwaka ya kisheria za uchaguzi, kama ushahidi huo Chadema wanao nitaomba tafsiri mahakamani ni nini malengo ya NEC Kumuweka mtu ambaye si mgombea kwenye list ya wapigiwa kura?
Mliokelwa na hili naomba mniunge mkono kama hoja za kisheria zipo mimi nitafunguwa kesi hii kama mpiga kura wa Segerea, muda wa kuishi kama makondoo umepita.
kwel mkuu,jamaa kapambana sana.
Hili jimbo nadhani litanipa ujiko binafsi na nitajulikana nchi nzima, natafuta hoja za kisheria za kuipandisha NEC mahakamani, nahitaji msaada wa docs kutoka Chadema zikithibitisha mgombea wao kama alijitowa kwa kufuata matwaka ya kisheria za uchaguzi, kama ushahidi huo Chadema wanao nitaomba tafsiri mahakamani ni nini malengo ya NEC Kumuweka mtu ambaye si mgombea kwenye list ya wapigiwa kura?
Mliokelwa na hili naomba mniunge mkono kama hoja za kisheria zipo mimi nitafunguwa kesi hii kama mpiga kura wa Segerea, muda wa kuishi kama makondoo umepita.
Mbona sasa hivi ni saa 10 jioni.
Matokeo tayari?
Nani kashinda kawe jamani
Hili jimbo nadhani litanipa ujiko binafsi na nitajulikana nchi nzima, natafuta hoja za kisheria za kuipandisha NEC mahakamani, nahitaji msaada wa docs kutoka Chadema zikithibitisha mgombea wao kama alijitowa kwa kufuata matwaka ya kisheria za uchaguzi, kama ushahidi huo Chadema wanao nitaomba tafsiri mahakamani ni nini malengo ya NEC Kumuweka mtu ambaye si mgombea kwenye list ya wapigiwa kura?
Mliokelwa na hili naomba mniunge mkono kama hoja za kisheria zipo mimi nitafunguwa kesi hii kama mpiga kura wa Segerea, muda wa kuishi kama makondoo umepita.
Hii ndio hoja yangu, maana Mtatiro ameonesha kutokuwa na nia ya kuchukuwa hatuwa za kisheria.Uchaguzi urudiwe hilo jimbo.
Utakuwa umefanya kazi ya maana sana Matola.
Ndio maana nahitaji ushirikiano katika hili wanasheria wa UKAWA watusaidie kutupa ushahidi, hili tupate hoja za kisheria, maana hata mimi sina uthibisho kama alijitowa kweli kwa taratibu zinazotakiwa.kaka tatizo litakuwa kama alijitoa wakati ambao muda wa kujitoa kisheria ulikuwa umepita i think kabla ya kurudisha fomu kama fomu yako ilirudi basi NEC wanakuchukua kama mgombea na jina lako litatoka kwenye ballot paper. kulikuwa na shida sababu huyo dada kaandika barua wakati kampeni zimekwisha anza. ila kama kutakuwa na ufumbuzi wa kisheria kwa kweli tutakuunga mkono
Naunga mkono hoja huyu Anatropia afutwe uanachama mara moja amesaliti maamuzi ya wanasegerea kuikataa ccm na mambo yake yote.Hapana mkuu,tatizo si la NEC,vyama vyetu vinavyounda ukawa vilichelewa kuafikiana juu ya utaratibu wa kuachiana baadhi ya majimbo hasa ya DSM.Makubaliano yalifikiwa wakati ambao kila chama kilikuwa kimeshateua mgombea wake na kujaza fomu za ugombea na kuzirudisha tume.Muafaka wa kuachiana majibo hayo ulitolewa baada ya kuanza kampeni,nakumbuka hata tulipozindua kampeni zetu jangwani,viongozi wetu waliwapandisha wagombea wawili kwa majimbo ya Segelea na Kigamboni.Baada ya kama wiki moja ndipo ikaamuliwa Kigamboni waachiwe Chadema na Segelea ibaki Cuf,kilichofuatia hapo ni ubinafsi wa wagombea wenyewe kwa kiburi chao kilichotokana na tume kurudisha majina yao wakaamua kuendelea na Kampeni mbazo leo hii zimesababisha kupoteza majimbo hayo mawili.Umoja wa ukawa unapaswa kuchukua hatua Kali dhidi ya wale wote waliosababisha kwa namna moja au nyingine kuzigawa kura zetu.Hatua ya kwanza ni kuwafuta uanachama wagombea wote walioombwa wajitoe ili kumpisha mgombea aliopitishwa na Ukawa ila kwa kiburi chao wakakataa.Wafutwe uanachama ili liwe fundisho kwa wale wote wasiotaka kufuata taratibu za vyama vyetu.
UPDATES FROM OYSTERBAY:
Hatimaye Halima Mdee mgombea wa CHADEMA katika jimbo la kawe ametangazwa Rasmi kuwa ni mshindi wa kiti cha Ubunge.
UPDATES FROM OYSTERBAY:
Hatimaye Halima Mdee mgombea wa CHADEMA katika jimbo la kawe ametangazwa Rasmi kuwa ni mshindi wa kiti cha Ubunge.
Hili jimbo nadhani litanipa ujiko binafsi na nitajulikana nchi nzima, natafuta hoja za kisheria za kuipandisha NEC mahakamani, nahitaji msaada wa docs kutoka Chadema zikithibitisha mgombea wao kama alijitowa kwa kufuata matwaka ya kisheria za uchaguzi, kama ushahidi huo Chadema wanao nitaomba tafsiri mahakamani ni nini malengo ya NEC Kumuweka mtu ambaye si mgombea kwenye list ya wapigiwa kura?
Mliokelwa na hili naomba mniunge mkono kama hoja za kisheria zipo mimi nitafunguwa kesi hii kama mpiga kura wa Segerea, muda wa kuishi kama makondoo umepita.
Jerry Slaa si kapigwa?