Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
sio ni ajabu kama wakigoma, yaani kule askari ni rushwa kila mtaa wanalazimisha kukutoa pesa hata huna kosa
wale madreva wa daladala sio siri wanateswa sana na hao matrafiki vichaa.
Arusha wameshaa nza , basi nadhani na Mwanza watakuja
dawa yao hao ni kuwa ua tu mmoja mmoja ili wapate adabu
Sio siri wanaudhi hao jamaa sio mchezo
Fikri mtu anategeme apate labda 40,000/day trafiki akikuona lazima umkatie 10-20 sasa hapo utakuwa unafanya kazi gani?
na hiyo ni kazi yao ya kila siku.
Hii nchi imeoza, tena imeoza sin hata tamaa nayo kabisa
wale madreva wa daladala sio siri wanateswa sana na hao matrafiki vichaa.
Arusha wameshaa nza , basi nadhani na Mwanza watakuja
dawa yao hao ni kuwa ua tu mmoja mmoja ili wapate adabu
Sio siri wanaudhi hao jamaa sio mchezo
Fikri mtu anategeme apate labda 40,000/day trafiki akikuona lazima umkatie 10-20 sasa hapo utakuwa unafanya kazi gani?
na hiyo ni kazi yao ya kila siku.
Hii nchi imeoza, tena imeoza sin hata tamaa nayo kabisa