Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Hawa kinadada mnaowashauri wameshawaelewa au?
hommie......huwa wanaelewa halafu wanajifanya hawajaelewa....ila wakilewa ndo wanajikuta wameelewa.....hapo siye tunakuwa tumeshaelewa zamaaaaaaaaaani! LOL