unajua kuna mdada mmoja(MUNGU ANISAMEHE KWA KUONGEA UKWELI)...!yupo mwaka wa pili sasa hapo kwa mkandara....!ameumizwa sana tena sana!kila boifrendi alikuwa anampa mashine jamaa anapiga na mungu amemtunuku kizazi kizuri ALIKUWA HODARI WA KUSHIKA MIMBA!kila jamaa aliyeharibu alikuwa anakimbia!mwana dada akawa anatoa mimba tu!....
baada ya watu kama watano hivi kufanya the same thing dada wa watu AMECHOKA MBAYA!dah!na ameamua azae tu sasa!ni mdada mzuri sana na upstairs yuko biyee maanake alinipigia wani ya nne A-LEVEL ya EGM..!lakini ndo hivo amerisk sana kumtafuta mista right mwisho wa siku SHE BECAME A LOOSER!
TAFADHALINI SANA WANADAFADA ZANGU!muangalie mnavyofanya haya mambo
sasa hii kasumba hii ya kuhimilisha mahusiano na ngono ni mbaya sana!hii pointi muhimu sana ................Wanawake wengi hivi sasa wanaamini mahusiano = ngono na anatumia hiyo ngono kama silaha yake katika uhusiano vile vile.
ukimfurahisha ngono babu kubwa, ukimkasirisha kidogo, siku hiyo hupati hata kama una hamu.
kwa ufupi uhusiano wote unakuwa centred kwenye ngono na ukitoka nje ya hapo tu hamna kitu.
hii pointi muhimu sana ................Wanawake wengi hivi sasa wanaamini mahusiano = ngono na anatumia hiyo ngono kama silaha yake katika uhusiano vile vile.
ukimfurahisha ngono babu kubwa, ukimkasirisha kidogo, siku hiyo hupati hata kama una hamu.
kwa ufupi uhusiano wote unakuwa centred kwenye ngono na ukitoka nje ya hapo tu hamna kitu.
unajua mtu anaposema uhusiano uko centred kwenye NGONO mi ndo hapo nakuwa sielewi!kwasaabu gani mimi kwangu NGONO IS NOTHING!I CAN EVEN BUY IT HATA SASA HIVI!yaani mimi yaani mimi dah!yaani hapo ndo ninaposhindwa kuwaelewa wakina mama!Tafadhali Teamo hebu njoo toa ufafanuzi hapa tafadhali!!
hii pointi muhimu sana ................Wanawake wengi hivi sasa wanaamini mahusiano = ngono na anatumia hiyo ngono kama silaha yake katika uhusiano vile vile.
ukimfurahisha ngono babu kubwa, ukimkasirisha kidogo, siku hiyo hupati hata kama una hamu.
kwa ufupi uhusiano wote unakuwa centred kwenye ngono na ukitoka nje ya hapo tu hamna kitu.
Hebu wapigeni hawa dada zetu maadvaizi makubwa halafu bigibradha ntamalizia na msumari wa mwisho!!
Go Teamo Go! Go Kaizer Go! Go Roya Roy Go! Go De Novo Go! Go brothers Gooooooooo!~!!!
Hebu wapigeni hawa dada zetu maadvaizi makubwa halafu bigibradha ntamalizia na msumari wa mwisho!!
Go Teamo Go! Go Kaizer Go! Go Roya Roy Go! Go De Novo Go! Go brothers Gooooooooo!~!!!
i mean hilo swala la sex lije baadae sana lakini lisigeuke kuwa MUHIMILI WA MAHUSIANO YENU!shauri zenu bwana mi nishawaambia.....!
me namjua duh! umemchana liveMweeh Teamo huyu simjui kweli huyu eeee?????
Teamo:
Naona baada ya Woza umeamua kuwa "a responsible citizen"
Sasa mkuu utafanya wenzi wetu waanze "kutubania" au "wafanye ili mradi" wasijeonekana "slaves of nanii"!
Mimi Baba_Enock (BE) kwa uzoefu wangu wanawake wote wanatumia "tendo" kama "relationships security" na si vinginevyo. Kwa hiyo mkuu mimi napingana na wewe kwa hii post. That is only "thing" that can keep a strong and unbreakable bond kwenye mahusiano.
Sure I will let her go kwa moyo mweupe peeeeeeeeeeee.mungu aepushe hili lakini ikitokea leo umepalalaizi ''mpododi''?...AONDOKE ZAKE?
mungu aepushe hili lakini ikitokea leo umepalalaizi ''mpododi''?...AONDOKE ZAKE?