Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
You either Take it Or Leave It!lakini naomba mtupe nafasi ya kuwashauri.....!
inawezekana sio wote,au si wewe unaesoma hii thread lakini WENGI WENU wana udhaifu mmoja mkubwa sana na MDOGO SANA kwenye hii habari ya mahusiano.....!
ni hivi:
kuna vitu huwa mnavifanya kwenye mahusiano ''machanga'' mkidhani kwamba vinaweza kuwa hamasa ya kumshawishi mwanaume aendelee kujiweka!KUMEKUWA NA TABIA FULANI YA KUJIKABIDHISHA KI-NGONO KWA MWANAUME na kuifanya kama ''bid security'' ya hayo mahusiano.nimeangalia kwenye thread fulani lediiz kadhaa wameweka bayana kwamba wanapenda SEX sana tu!okay sijakataa.lakini naomba muibadilishe kidogo hiyo dhana!......
kuna vitu vingi sana wanaume wataviangalia ukiacha hilo jingine......!adhawaisi mtakuwa watu wakuhuzunishwa 24/7 na mtakuwa watu wa kuwalalamikia wanaume 24/7.
i mean hilo swala la sex lije baadae sana lakini lisigeuke kuwa MUHIMILI WA MAHUSIANO YENU!shauri zenu bwana mi nishawaambia.....!
ka-uzoefu kangu kadogo ambako hapa jamvini watu wengine wamekuwa ''akikakrash'' kwamba ooh sijui mwezi tu mara wiki tu kamenifunza mambo mengi sana!ukishampa mwanaume hiyo habari kwa maana kwamba ''asikuache'' imekula kwako!kama unampa kwa maana ingine sawa lakini sio hilo
TAFUTENI MIHIMILI MINGINE YA MAHUSIANO YENU JAMANI SIO HIO MAMBO!......
adios!
inawezekana sio wote,au si wewe unaesoma hii thread lakini WENGI WENU wana udhaifu mmoja mkubwa sana na MDOGO SANA kwenye hii habari ya mahusiano.....!
ni hivi:
kuna vitu huwa mnavifanya kwenye mahusiano ''machanga'' mkidhani kwamba vinaweza kuwa hamasa ya kumshawishi mwanaume aendelee kujiweka!KUMEKUWA NA TABIA FULANI YA KUJIKABIDHISHA KI-NGONO KWA MWANAUME na kuifanya kama ''bid security'' ya hayo mahusiano.nimeangalia kwenye thread fulani lediiz kadhaa wameweka bayana kwamba wanapenda SEX sana tu!okay sijakataa.lakini naomba muibadilishe kidogo hiyo dhana!......
kuna vitu vingi sana wanaume wataviangalia ukiacha hilo jingine......!adhawaisi mtakuwa watu wakuhuzunishwa 24/7 na mtakuwa watu wa kuwalalamikia wanaume 24/7.
i mean hilo swala la sex lije baadae sana lakini lisigeuke kuwa MUHIMILI WA MAHUSIANO YENU!shauri zenu bwana mi nishawaambia.....!
ka-uzoefu kangu kadogo ambako hapa jamvini watu wengine wamekuwa ''akikakrash'' kwamba ooh sijui mwezi tu mara wiki tu kamenifunza mambo mengi sana!ukishampa mwanaume hiyo habari kwa maana kwamba ''asikuache'' imekula kwako!kama unampa kwa maana ingine sawa lakini sio hilo
TAFUTENI MIHIMILI MINGINE YA MAHUSIANO YENU JAMANI SIO HIO MAMBO!......
adios!