Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Habari zenu wanaJF hasa upande huu wa JF Daktari?
Dada yangu mwenye umri wa miaka 36 anaumwa ugonjwa ambao unamdhoofisha kila kukicha na ugonjwa huo
una dalili kuu ya kutoa sauti kubwa inayojitokeza kama mtu aliyeshiba sana na hewa inatoka kooni ila kwa sauti kubwa
ambayo inamfanya ata watu wamkimbie.
Sauti hiyo inatoka mithili ya mtu aliyekunywa soda yenye gesi nyingi (burp kwa lugha ya kiingereza). Dada yangu anazidi kukonda na anapokuwa
na hasira au kuchoka hali ya kuburp huongezeka sana hadi watu wanamkimbia.
Naomba mnisaidie kwa mwenye uelewa wa ugonjwa huu tafadhari!
Dada yangu mwenye umri wa miaka 36 anaumwa ugonjwa ambao unamdhoofisha kila kukicha na ugonjwa huo
una dalili kuu ya kutoa sauti kubwa inayojitokeza kama mtu aliyeshiba sana na hewa inatoka kooni ila kwa sauti kubwa
ambayo inamfanya ata watu wamkimbie.
Sauti hiyo inatoka mithili ya mtu aliyekunywa soda yenye gesi nyingi (burp kwa lugha ya kiingereza). Dada yangu anazidi kukonda na anapokuwa
na hasira au kuchoka hali ya kuburp huongezeka sana hadi watu wanamkimbia.
Naomba mnisaidie kwa mwenye uelewa wa ugonjwa huu tafadhari!