NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Lazima mfurahie kwa sababu kawapa heshima nyumbani.Kuna mtu mwingine ana mabinti nyumbani,kila binti anazaa kwa wakati wake!!
Umenena vema.
Lazima mfurahie kwa sababu kawapa heshima nyumbani.Kuna mtu mwingine ana mabinti nyumbani,kila binti anazaa kwa wakati wake!!
Wewe unataka kumuoa dada yako mwenyewe? Au unataka asipate anachotaka?
Kama dada yako kampenda mtu, na anafurahia kuolewa, kwa nini usifurahie yeye kufurahia?