Dada yako anaolewa: Nini hasa kinachokufanya ufurahie?

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,650
Nimehudhuria sherehe za harusi nyingi.

Nimekuwa nikiona kaka za bibi harusi wengi wakishangilia na kufurahia dada zao kuolewa. Hapa naomba mnijuze juu ya nini hasa kinachowafanya wakaka kuwa na furaha dada zao waolewapo ukizingatia hiki ni kipindi ambacho wanaume wengi wamekuwa na kale katabia ka kutumia viagra na zile dawa za kuongeza ukubwa wa 'vitendea kazi' vyao hadi kufanana na mihogo ya jang'ombe.

Hivi wakati unafurahia umeshawahi kujiuliza juu ya madhila kama haya ambayo wanawake wengi wamekuwa hawayapendi ktk mahusiano yao na sasa ndiyo yanaenda kuwa maisha yake ya kila siku ktk ndoa ya huyo dada yako?

Ktk mazingira kama haya, ni nini hasa kinachokufanya wewe kaka wa bibi harusi ufurahie dada yako anapoolewa?

Nipeni jibu jamani!
 
Duuuh ebana eeeh....wewe una dada?

Umewaza nini mpaka umeniuliza hilo swali? Bwanchuchu vipi? Hebu jibu swali bwana hiyo biashara ya una dada au huna ya nini? Sio kila anayeua basi hana ndugu!
 
mimi huwa ninafurahi tu ukipigwa ule wimbo wa bongo fleva wenye maneno haya:
....dada huyo anaolewaaa,dada huyo anaolewa, mahari imeshatatolewaaa,mahari imeshatolewa....
 
Kaka tunashangilia maana kuletewa vimjomba visivyo na baba inaumiza aisee...............
Swala la wao kudungwa na vitendea kazi vilivyoboreshwa na Mchina au kutumia Mkuyati hiyo hainihusu ninachojali zaidi ni kuepushwa na gharama zisizo na lazima.
 
mbona wenyewe hawalalamiki, nadhani wanaipenda hiyo mihogo ya jang'ombe.
 
ukitaka kula lazima uliwe.

Anakubali dada aliwe ili na yeye ili aje ale wa mwingine, vinginevyo mtaoana mtu na dada yake afu ukoo unabaki kuwa wa vilaza asilani.
 
Lazima nifurahi sana dada akiolewa na shemeji nitampenda sana kwa kuwa Kama dada akizalia nyumbani watoto wake wanaweza kumuita babu yao baba kwa ajili ya mazoea ya pale home, na ikaleta Picha mbaya kwenye jamii, pia watoto wa dada wanaweza kuniita baba Kama wanangu badala ya mjomba Kama ataishi kwangu na pia ikaleta Picha mbaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom