Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
Nilimtuma dada mtu amwambie mdogo wake kuwa ninampenda kwe mdogo wake amenipenda pia,ila yeye hana cmu kwa hiyo ili niwasiliane nae lazima nipige cmu kwa dadake,baada ya mdogo wake kunikubalia dada mtu hapokei tena cmu zangu! WHAT DOES IT MEAN?