Acha kashfa, si kila mwalimu alifeli, halafu bila mwalimu ungewza hata kuposti ulichoposti. Kwa taarifa yako walimu wengi ni magraduate.Kazi nzito hiyo, zile DIV 4 za kuchechemea, halafu wagome? wakifukuzwa ni nani atawaajiri?
Ujinga wenu wa kuisifia CCM ndo uliotufikisha hapa baada ya kupata elimu umefanya nini dhidi ya udhalimu kwa nini mnawabebesha mzigo walimu, Mnapotoa rushwa, mnabanana kwenye magari, hakuna dawa hospitalini, Mwizi na fisadi mnamwona mjanja.
Ni vema tuungane pamoja baadala ya kuwabebesha mzigo walimu Watanzania wote hata wewe ni mazezeta.
Tunatakiwa kuungana kupinga udhalimu. mbona polisi wanawapiga marungu wapenda mabadiliko. Usalama wanawatesa watetea haki. kwa nini walumiwe walimu.