Mkuu mbona nasikia kuwa Lipumba hayuko Tanzania?Mod ondoa hii habari ni ya uongo. Nimefuatilia kote mpaka makao makuu na kukutana na Prof Lipumba, Sheikh Sharif na Hamad wote wamethibitisha kuwa hizo zote ni propaganda za uongo tu. Kuwa hakuna aliyeandika hiyo barua, hivyo hiyo ni barua ya kupikwa tu. Hebu ichunguze hakuna hata mahala pamoja alipohojiwa Sheikh Sharif au Prf Lipumba. Hilo ni gazeti au uchwala. Mod hii taarifa itakugharimu ni bora uifutilie mbali.