Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
Masaki na Binti maringo, you will make a perfect couple.......samahani kama ntakukwaza
Mbona CV ya Binti Maringo sina jamani....Hebu ishushe hapa!
Masaki na Binti maringo, you will make a perfect couple.......samahani kama ntakukwaza
nooo asiniangusage,mie nampenda ndugu yake yeye anamjua,nilinyamaza nikiwa bado namtafuria jibu zuri
Mbona CV ya Binti Maringo sina jamani....Hebu ishushe hapa!
Mbona CV ya Binti Maringo sina jamani....Hebu ishushe hapa!
Tatizo my dear CM hiyo avatar.Utapata application nyingi hadi utakoma.Hebu wasiliana na Carmel akupe desa.nooo asiniangusage,mie nampenda ndugu yake yeye anamjua,nilinyamaza nikiwa bado namtafuria jibu zuri
Kiwango kabisa mami.lily flower unazani mie na fidel tunapendezeana?
mnapendezeana sana nikicheki hiyo room ya uwani na nikimuangalia na binam...mbona ndo nyie nyie bana
binti maringo,mpole but maringo mengi ukitaka kumpata watafute wazee wa ngwasuma wakupe pamba na jinsi ya kutembea mikono na kifua kikiwa kimejaa bring bring sore kama nimemkwaza
jamani akili kichwani ni mlokole si mwaji wa valuu wala mzee ya totozzzzzz,naona presssure inapanda pressure inashuka!
mi naona wananiheshimu charity,maana bado hakuna aliyeaply tokea nifike hapa.Tatizo my dear CM hiyo avatar.Utapata application nyingi hadi utakoma.Hebu wasiliana na Carmel akupe desa.
binti maringo,mpole but maringo mengi ukitaka kumpata watafute wazee wa ngwasuma wakupe pamba na jinsi ya kutembea mikono na kifua kikiwa kimejaa bring bring sore kama nimemkwaza
mnyange sana
smart hadi upstairs
confident
anakulaga mbwa
anakunywa sana ulanzi
ukishangaa kukushika masiko utegemee sana....
I WILL B BACK FOR PART II
sidhani kama anaweza kumsaliti ndugu yakemh so shemeji shemeji ukumwazima taa
ngoja tuone kama atapigiwa kura za kutosha
Yeah! Couple of the Year!
aminia!
sidhani kama anaweza kumsaliti ndugu yake
Yeah! Couple of the Year!