Sorted.NIWIE RADHI Lily Flower! SIKUKWAZI TENA.....
Unatakiwa uchaguliwe sio uchague mwenyewe, haya nakuchagulia.Mi nampenda Cheusimangala wakuu mnasemaje hapo?
i love u 2 lkn naogopa kutolewa roho hivyo nihurumie mwana wa mwenzio naomba hifadhi ya roho yangu kwako napiga magoti.hujambo lkn.
Thanks mummy wakukutoa roho hapa hayupo kuwa free tu.
Nimefrahi sana kuwa na amani na huru.
paka jimy na shishi.wanajukwaa,
jana kumetundikwa thread moja, hii-hapa, ambayo muwasilishaji anayeenda kwa jina la pearl alieleza anavyoota sifa za wadau mbalimbali wa hapa ndani jinsi walivyo kwa hisia zake na kwa kusoma mabandiko yao!!..mfano, (nanukuu):
na wengine weengi walioorodheshwa!
swali: je jf ingelikuwa ni sayari , ni nani na nani hapo wanakubaliana kwa sifa na hadhi zilizobuniwa, kuwa couple?...
Naniiiiiibasi na mm nataka kumchagua wangu,nampenda mpenda,semeni naniiiii?
basi na mm nataka kumchagua wangu,nampenda mpenda,semeni naniiiii?
Hujanisahauu kweli??Wanajukwaa,
Jana kumetundikwa thread moja, HII-HAPA, ambayo muwasilishaji anayeenda kwa jina la Pearl alieleza anavyoota sifa za wadau mbalimbali wa hapa ndani jinsi walivyo kwa hisia zake na kwa kusoma mabandiko yao!!..mfano, (nanukuu):
na wengine weengi walioorodheshwa!
Swali: Je JF ingelikuwa ni SAYARI , ni nani na nani hapo wanakubaliana KWA SIFA na HADHI zilizobuniwa, kuwa couple?...
Naniiiiii
naniiiiiii
Naniiiiikijana mmojaaaaaaaaaaa,sema naniiiiiiiiii
Jesus!
You guys, unless if you are not serious...nitamweza wapi mimi Pearl?..mi namhisi kama yuko naniliu sana![/QUOTE]
ndo kuwaje hapo biggy???? mi sijaelewa bana............
naniiiimrefu kidogoooooooooooo,sema naniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
nasema kwa B sasa hivi!!!
Naniiiii