Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 679
- 419
Africans are lazy creatures who destroy their own world slowly slowly.When we misinterpret God akili ya binadamu so feeble... #usimjaribubwanaMunguwako
Alituumba akatupa akili ya kutatua changamoto zetu... Nawa mikono, stay at home, jikinge.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja, ni kuomba Mungu na sio mungu!.Mwisho wananchi wasisitizwe kumuomba mungu na kuchukua tahadhari zote ikiwemo kuepuka mikusanyiko hata ikiwezekana ya ibada.
Biblia huwa unasoma?Usimjaribu bwana Mungu wako.... Kama njia ni kusali tu mbona unaenda kazini kila siku... Why don't you stay at home pray for the bread on your table....
It's obvious gathering zinasambaza ugonjwa and yet Kariakoo is full of people just like a normal day... What do you expect??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli wengi Ni wababaishajiMimi naomba unifundishe kuhusu sadaka kwa wahitaji(yatima na watumishi wa Mungu - ingawa hawa wanaoitwa watumishi wa Mungu siwaelewi hawa kabisa maana wengi siku hizi wamekua wababaishaji sana)..
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 maombi ya nani? Una uhakika?Maombi yamefanya madaktari toka Cuba waende kusaidia Italy
Anasifu na kuabudu kimtindoumeandika nini?
yaani sikumwelewa kabisa! sikupata take home msg!Anasifu na kuabudu kimtindo
Thinking capacity ya watu is in jeopardy!