The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Bunge la mwaka huu si mchezo ila huyu mzee huwa atabiriki anabadilika kama kinyonga leo wa bluu kesho mwekundu
Ngoja nisubiri vituko vyake bungeni
Jamani naomba kuulza nilikuwa training kidogohivi huyu jamaa ameshinda uchaguzi jamani
kama unamuulizia mrema yule wa tlp kashinda na nasikia sasa anaitaka wizara yake ya ulinzi
Ndio ameshinda kwa tiketi ya TLP huko Vunjo na anasema lazima apate wizara kama vipi...Jamani naomba kuulza nilikuwa training kidogohivi huyu jamaa ameshinda uchaguzi jamani
Kuna jamaa aliniambia alichaguliwa na WANAWAKE kwani alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alitoa AMRI kwa waliokuwa SUNGUSUNGU mtu akimpiga mke wake analala ndani siku 14,,there after ndo unapelekwa kwa PILATO,,,,hii kitu iliwafanya wakina mama wafurahi saana na ndio maana mpaka aingie kaburini hawatamsahau
Jamani naomba kuulza nilikuwa training kidogohivi huyu jamaa ameshinda uchaguzi jamani