afadhali apate fungu la kustaafia siasa
Huyu wa sasa sio kama yule wa miaka ya 90.Hongera sana Mrema, kazi yako nzuri miaka ya 90 imefanya wananchi wakuamini.
hongera zake, mzee wa kiraracha japo pole kubwa kwa kijana mpiganaji john mrema, natumaini 2015 mzee wa kiraracha atakuwa kachoka sasa, hapo john mrema atapokea kijiti
Huyu wa sasa sio kama yule wa miaka ya 90.
Bora hata huyo kuliko wangekuwa CCM, lakini hata huyo nae haeleweki tusubiri!
wakuu!
waweza fikiria ni kichekesho!!!!!!!!!!!!!!!!Augustine Mrema ni MP elect,more nyuzi to come!