Elections 2010 CONFIRMED: Kigwangala atangazwa rasmi mshindi Nzega

Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?

Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?

Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !

Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!

Kigwa,
Kila la kheri na Mungu atakuwa upande wako, ombi langu kwako - Be true and faithful to the people that have trusted you to represent them, represent them with dignity and integrity so that they will be proud to have chosen you. I know you are a gem and if you decide to work for the betterment of this nation, we will be a proud people.

I am expecting you to exceed my expectations, as you have done with flying colours in the past. May God bless you!
 
Amina Ntemi, nimetawazwa kuwa mtemi kule Nzega nikapewa na jina la Makaranga ng'wana Ng'washi!
 
Huyu katika fikra zake zote anafikiri njia pekee ya "kuwatumikia wananchi' ni kwa kuwa mbunge. Yaani mawazo mgando matupu, hakuna kufikiri zaidi ya formulaic norms.



Halafu arrogant as fvck, hata hanijui, kauliza swali, badala ya kusubiri jibu "ndiyo nishawahi kugombea ubunge pale' au "sijawahi' tayari kashaconclude kwamba sijawahi, na siasa mbuzi za kugombea ubunge kutupwa kwenye party primaries, na kushinda kwa bahati sizijui.



Kama kweli unaamini moja ya alama za usomi ni kuthamini uhuru wa kutoa maoni, wewe mwenyewe ushaji disqualify kutoka kundi hili la wasomi kwa kuniambia "shut up". Huwezi kutaka kuwanyamazisha watu kwa nguvu halafu hapo hapo ukajitia bashasha za usomi na kuthamini uhuru wa watu kujieleza.



Ungekuwa kweli una principles za kuthamini uhuru wa watu kuchagua ungekataa nomination ya CCM, kwa maana wanachama wa CCM hawakukutaka uwe mgombea wao, hawakukupa hata nafasi ya pili kwenye kura zao za maoni, wamekutupa a distant third. Leo unataka kutuhubiria kuhusu kuthamini haki ya wananchi kuchagua hapa ?



Itikadi ya chama gani? Mimi nina itikadi ya chama gani? Angalieni huyu simpleton anaamini kwa kuwa yeye CCM basi anayetaka kumuwajibisha lazima atakuwa na itikadi ya chama tofauti.

Wengine hatuna chama hapa, chama chetu hakijatokea bado ktika nyanja za siasa Tanzania, in the meantime tunawashikisha adabu arrogant nincompoops kama wewe wanaofikiri wamepata ubunge kwa nguvu zao wakati wamebebwa mpaka inatia kichefuchefu.
Kiranga you have made my day !!! actually i wouldnt have said it any better, such arrogance and uppity shown by our blessed selected few to share this big sacred cake !! he definetly WASNT THE CHOICE OF CCM MEMBERS and he just won because it was either him or opposition..Kigangwala my friend, learn to be humble and down to the level of your voters, what happened to his excellency Masha can happen to you anyday provided you keep your arrogance and high opinions to the mass, try and work out the challenges you had blasted out in your campaigns..and you Kiranga my dear, u do deserve a medal for your answer
 
Amina Ntemi, nimetawazwa kuwa mtemi kule Nzega nikapewa na jina la Makaranga ng'wana Ng'washi!

Hongera Ng'wana Ng'washi. Tunakuomba ukawe msimamizi wa misingi ya CCM halisi, ukiona hakieleweki usisite kurudi kundini, CHADEMA inahitaji wapiganaji kama wewe. Serikali ijayo tunataka iwe ya Chadema, ingefaa sana kama tungepata vijana wa aina yako.
 
Kama umeshinda kihalali hongera, La wewe ni kijana achana na hao majambazi njoo tutupe mawe wote huku chadema,
-Pili na muhimu zaidi kura ya Spika usimpe Jambazi Chenge
 
Hongera sana mheshimiwa kigwangala. Huwezi kuwazuia binadamu kuzungumza. wewe endelea kuamini unachokiamini, endelea kusimamia haki. tupo pamoja
 
Kama umeshinda kihalali hongera, La wewe ni kijana achana na hao majambazi njoo tutupe mawe wote huku chadema,
-Pili na muhimu zaidi kura ya Spika usimpe Jambazi Chenge

Naweka msisitizo hapo kwenye bold
 
Kiranga ulishawahi kugombea Ubunge hata mara moja au we kazi yako ni kukosoa wenzako walioonesha dhamira ya kuwatumikia wananchi? Ushawahi hata kuzunguka kupiga kampeni kutafuta kura???

I advise you to shut up on things greek to you! Its also wisdom...

Huwa ninaamini kuwa wengi wa waliopo hapa ni wasomi wazuri tu na mnafahamu maana halisi ya uhuru wa kutoa maoni, wa kuchagua n.k. Lkn to my surprise mtu anadhani itikadi yake ya chama ndiyo sahihi zaidi ya wengine na mara zote anatukana tu wengine kwa kuwa wana itikadi tofauti na ya kwake! That is not democracy!
hamisi hii post was uncalled for... umeharibu maana ya kutumikia wanachi, na maana ya kuwa na different ideology
 
Hongera sana mheshimiwa kigwangala. Huwezi kuwazuia binadamu kuzungumza. wewe endelea kuamini unachokiamini, endelea kusimamia haki. tupo pamoja
alishindwa kura za maoni akabebwa na salma

hapo hakuna haki, atasimamiaje haki kwa kuvuruga haki... angekataa njomination ndio haki ingetendeka
 
-Pili na muhimu zaidi kura ya Spika usimpe Jambazi Chenge

Ukijua kwa nini zilitumika mamilion ya pesa yaliyotoka nje ya Nzega kumuangusha Mbunge mpiganaji Seleli kule Nzega basi HAUTAHOJI hata kidogo kura ya Dr Kigwangala ni ya nani kwenye Spika!

Chenge na kundi lake hawajakurupuka tu kugombea U-spika,walihesabu "wabunge"wao na kuhisi kuwa wanaweza shinda kiti hicho!
 
Mheshimiwa Naomba nikupe Hongera sana kuchaguliwa kwako kutokana na sera nzuri za Chama chako kama ulivyo sema, Mimi naomba unieleze sera nzuri za CCM za Uchaguzi Huu maana mimi nilikua sisikii sera bali nikikua nasikia Ahadi nyingi tu Kuanzai Kwa JK, sasa na wabunge walikua wanaendeleza zile ahadi alizo zitoa Mheshimiwa au mlikua mnatoa sera kama ni sera zilikua ni zipi Mheshiwa?

mkuu Amigo,utamfarakanisha mh.H.Kigwangala na chama chake,kwani zile sera za makamba na mkuu wake? Mfano zile za mkuu "wanaosikiliza upinzani ni Majuha", "ushindi ni lazima" "mafiga matatu" "kampeni ya shuka kwa shuka" "ujenzi watundu ya chöo" "shule za kata kama za kule marekani" n.k Hiyo ndo Ccm na dr.anaielewa. La msingi umuulize sera zake kule Nzega zilimpeleka Bungeni.
 
Amina Ntemi, nimetawazwa kuwa mtemi kule Nzega nikapewa na jina la Makaranga ng'wana Ng'washi!

hongera,nahamini unajua maana ya mtemi,kama history si njema kwako nko tayari kukumegea ukiniruhusu! Ila hapa maana yangu si kwamba unajua au ujuhi umtemi. Mi nataka kukujulisha kwamba Mtemi ni 'partial figurehead' in short. Kwa ili basi ukiingia mjengoni ni ku'tema' wale wote wasiolitakia taifa amani sana sana mafisadi. Najua ni kazi ngumu ukizingatia kuwa wewe ni mtu wa karibu sana na familia ya JK ambaye Taifa limemweka kwenye list isiyopingwa na mtu yeyote yani list of shame, ila kama unataka kurudi jimbon 2015 inabidi kikombe icho ukinywee tofauti na apo Chadema wanapataka pale Nzega 2015. Hakuna kulala mpaka kieleweke mh.dr.HK. Pia nina wazo mbadala: dr.kwa sababu wanaCCM wa Nzega walikupa ushindi wa tatu baada ya yule waliyempokonya uraia kwa muda,pia wa pili mpiganaji Selellii,ila wakati wa kula ukachukua kura chungu nzima ukawa mbunge,badala ya yuleMchadema,ukikumbuka chama kikuu pinzani ni chadema,je huoni kwamba tuliokuchagua kwa nafasi ya kwanza(mbunge) ni sisi wa upinzani nje ya ccm,je huoni kuwa unapendwa zaidi kwenye upinzani? Na kama unalitambua hilo si vema ukalipa fadhila kwa kusogea upande ule unakopendwa? Ukiwa Chadema utapata nafasi ya kuunda serikali mpya ya 2015 baada ya anguko kuu la Ccm 2015. Najua utashangaa maneno yangu,ila usinijibu vibaya ka intakuudhi bali andika ushauri huu pembeni alafu utanikumbusha nov.2015 pale ukweli utakapodhihirika. Fanya siasa lakini si siasa za ushabiki,wakati huu si wakati wa zidumu fikra za mwl. kwa ili hata mr&mrs. Malechela wanalijua sana. Nakutakia kazi njema pale Dodoma.
 
Amina Ntemi, nimetawazwa kuwa mtemi kule Nzega nikapewa na jina la Makaranga ng'wana Ng'washi!

Dk vipi mbona unaaza kukwepa maswali ya msingi? Naomba majibu yako juu ya haya maswali inabidi nirudie tena

Hongera Dk. Naona kuna wa CCM theoretically wana ideas nzuri wameingia mjengoni. Mwenzako Januanry anasema atakopa fedha ili kupata malori ya kusafirsha matunda kutoka jimboni kwake kwenda kwenye masoko ambayo yatakuwa chini ya ushirika


  • Sijui wewe Vision yako hasa au ndoto yako ni kuona au kupigia debe mabadiliko gani jimboni kwako?
  • Assume JK anakuuliza analylsis yako kwa nini Parcentage ya kura za CCM zimepungua? Anakuuliza pia ni udhaifu gani kwenye utawala wake uli uobserve for past five years. utamjibu nini?
Nakutakia U Dk, uheshimiwa na ubunge wenye tija kwa taifa
 
@Mtazamaji, mkakati wangu wa kwanza ni kujenga uchumi imara wa Nzega kwa kuhakikisha tuna-attract wawekezaji kwenye viwanda vinavyohusiana na mazao - viwanda vya kusindika mafuta ya alizeti na pamba, kuchambua pamba na pia kukoboa mpunga na ku-pack; viwanda vya plastic na ku-purify maji ya kunywa! Hii inalenga ktk kuongeza mzunguko wa pesa wilayani Nzega na kuleta soko la uhakika la mazao karibu zaidi na wakulima! Pamoja na hili, tutakuwa na mkakati mkubwa na wa maksudi wa kuhamasisha kilimo bora na cha kisasa lakini pia kuwawezesha wakulima kwa kuwaunganisha katika vikundi na kuwakopesha pembejeo, kuwaletea mbegu bora na kuwapa elimu bora ya ugani!

Nitaendelea baadaye....
 
@Mtazamaji, mkakati wangu wa kwanza ni kujenga uchumi imara wa Nzega kwa kuhakikisha tuna-attract wawekezaji kwenye viwanda vinavyohusiana na mazao - viwanda vya kusindika mafuta ya alizeti na pamba, kuchambua pamba na pia kukoboa mpunga na ku-pack; viwanda vya plastic na ku-purify maji ya kunywa! Hii inalenga ktk kuongeza mzunguko wa pesa wilayani Nzega na kuleta soko la uhakika la mazao karibu zaidi na wakulima! Pamoja na hili, tutakuwa na mkakati mkubwa na wa maksudi wa kuhamasisha kilimo bora na cha kisasa lakini pia kuwawezesha wakulima kwa kuwaunganisha katika vikundi na kuwakopesha pembejeo, kuwaletea mbegu bora na kuwapa elimu bora ya ugani!

Nitaendelea baadaye....

Kamanda, tumeshakupa hongera za kutosha nk. Save your energy sasa. Thread ya siku nyingi hii.

Fanya mengine ya maana sasa tusonge mbele.

Kama vipi vipi anzisha thread ya hoja mpya wadau washiriki.
 
Pole sana Kiranga, nisamehe, naona nimekukwaza! Sorry pal.

@malafyale, nishawashukuru wanaNzega kwa kuniamini, and have done so several times and will do so in every ward!

To set records straight, 'bahati' ni ile niliyoipata kwa kuteuliwa na chama changu baada ya kuwa 2nd runner up kwenye primaries - to me that seems like pure luck plus the fact that chama kiliamini nitakipa ushindi kwa kuwa nina sifa na wasifu stahiki wa kuwa MB, kushindwa kwenye kura za maoni is a function of so many things, sipendi kusema hapa sababu hizo!

Wengi ndani na nje ya CCM, they thought Kigwangalla hauziki na atashindwa kwenye general election, lakini mi na wanaccm wenzangu persevered and fought hard to win the election! Hii sasa haikuwa 'bahati' ni ushindi tulioutafuta kwa sera nzuri za chama na confidence ya uwezo wa kufuatlia na kusimamia utekelezaji, ya wagombea wa CCM, hususan Mbunge wao! Ikafika mahali wakaamini, wakanipa kura nyingi!

Hongera bwana Mdogo MH Kigwangalla.

Unaongea vizuri sana pia ninahisi una agenda nzuri ya kuwasaidia wananchi wa Nzega.
Binafsi sina tatizo na wabunge binafsi kadhaa wa CCM bali nina tatizo na kambi watokeayo.

Ukiwa unavuka mto huku umebembwa Mgongoni mwa Mamba uwezo wako wa kunena juu ya uchafu wa magamba ya mamba hutoweka kabisa. Hata kma wewe ni bingwa wa kuchambua kasoro.

Kihistoria CCM wanamchezo mbaya wa kugeuza wabunge wake Puppet hasa katika maswala nyeti ya kitaifa yanayowabana watendaji ndani ya serikali ya CCM.

CCM watajaribu kukuziba mdomo ndani ya kamati zao za chama, ukiweza kuruka kiunzi hicho wababe ndani ya CCM wataanza vita ya kukupaka matope na kukuchafua kichama kwamba wewe ni msaliti wa chama.

Wakati huo ukifika Hekima yako yote itahitajika.

Naamini kwa dhati utachukua Busara zote zilizopo hapa JF na kuzitumia otherwise positively huko Bungeni.
Ombi kwako MH,mambo yakianza kuchacha, tafadhari usitupe kisogo hapa JF.
 
Kamanda, tumeshakupa hongera za kutosha nk. Save your energy sasa. Thread ya siku nyingi hii.

Fanya mengine ya maana sasa tusonge mbele.

Kama vipi vipi anzisha thread ya hoja mpya wadau washiriki.[/QUOT

@Superman, Mimi nilikuwa nimemaliza kuchangia
Lkn kwa heshima na uhitaji wa wadau nilihisi nawajibika kutoa majibu...kama ndo utaratibu wa hapa JF basi ntaufuata!
 
It's shame to start a thread just to discuss one person who has won in a landslide election. If you think Nzega constituents are dumb, then judge them not Dr. Kingwa. This is like a pretty woman decides to date a loser and instead of holding her accountable, you attack the loser.Nothing wrong a loser has done, he just applied and he was accepted. Blame Nzega people and not Dr. Kingwa. If you guys think to win election is easy, ask DR.s and professor at UDSM who try over and over to run for office and they cannot win. Funny thing is that some of them are professors in political science and as a knowledgeable person, you expect them to have all knowledge of winning election. I do respect any person who can convince people to vote for him or her regardless of means used. Peace not hating, leave Dr. kingwa alone, no matter what you say he will hold office for 5 years.
 
Dr;

Please fikisha ujumbe wangu huu Bungeni;


Mwisho,kwa nini TZ tusiwe tunawathibitisha Bungeni wataalam wanaoteuliwa kama vile Majaji au makamishna wa Tume mbalimbali ikiwemo ya Uchaguzi ambako pindi wakithibitishwa na Bunge Rais HAWEZI tena kuwa na uwezo wa kuwafukuza na hii itafanya wafanye kazi zao bila kuogopa kufukuzwa na Rais! !

Mkuu unataka dokta mzima akijiabishe mjengoni? Kwa taarifa yako, Tanzania haifuati parliamentary system. Instead tunafuata presidential system. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati ya hizi systems. Labda Parliamentary versus Presidential governments itakupa mwangaza, ila kama mheshimiwa atataka kuraise hii issue bungeni nakushauri kwanza umtafute mtaalamu aliyebobea kwenye mambo ya katiba akufafanulie zaidi.
 
Back
Top Bottom