bahati kupewa mzigo mbona wengine hawajapewa
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?
Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?
Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !
Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?
Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?
Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !
Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?
Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?
Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !
Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!
Teh teh teh teee umenikumbusha mbali kweli! nakumbuka ishu hiyo ilikwa patashika nguo kuchanika!!Kigwa usitake kutudanganya, hata kama una dhamira ya kweli hutaweza kwani chama ulichomo tunajua chama kwanza wananchi baadae, unaweza kuwa na dhamira nzuri lakini chama chako kitakuangusha, kwa kuwa najua nawe utapenda tena uteuliwe kuwa mgombea tena usingependa ukiangushe chama chako, fisadi huzaa fisadi.
Hata hivyo sidhani kama nawe ni msafi kihivyo kwani nimesikia ulitaka kuvuliwa madaraka kwa ubadhirifu wa fedha ulipokuwa kiongozi wa chama kimoja chuoni kwako ukanunua gari, sina uhakika lakini yaweza kuwa kweli.
lazima ujue background ya uchaguzi wa Kigwangalalanga kuelewa ana maana gani bahati.Mbunge Kigwangalla anaamini kushinda kwa bahati? Hivi tutamaliza umaskini kwa fikra za kufanya mambo kwa kubahatisha? Anaona mzigo wa kuwatumikia watu masikini bahati?
Hamisi mdogo wanguOyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?
Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?
Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !
Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!
hahahaaaa.... hamisi kamchakachua bashe na selelii, atashindwaje kuchakachua mengine?Hamisi nakufahamu wewe ni mpiganaji tangu tunasoma wote MUCHS, Tatizo chama ulichopitia kitakudhibiti tu ufanye kile CCM inachoamini na inachotaka si wananchi wa jimbo lako wanachotaka. Si unaona akina Anna Kilango walivyozimwa midomo kwenye ishu za ufisadi. So dont expect you wiil do much.
OYAAAAAA, Bro... to some "gold standards" may mean something elseMbunge Kigwangalla anaamini kushinda kwa bahati? Hivi tutamaliza umaskini kwa fikra za kufanya mambo kwa kubahatisha? Anaona mzigo wa kuwatumikia watu masikini bahati? Au pengine hajui hata kama huu ni mzigo, anaona ulaji na power, ndiyo maana anaona "bahati".
Hivi huyu si ndiye yule jamaa kaja na narrowminded notions za kutaka kulazimisha kila mtu ajitambulishe kwa jina lake la ukweli hapa?
Mtu kupata ubunge tu kila kitu "mimi" "mimi", hata siasa za kushukuru wapiga kura wako hamna, umebaki kujitamba na "spirit yangu tu ndiyo imenifikisha hapa". Hata huyo Kiranga high priest of cockiness anakusema kwenye hili basi ujue kasheshe.
Just goes to show you madudu tuliyonayo bungeni.
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?
Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?
Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !
Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!
lazima ujue background ya uchaguzi wa Kigwangalalanga kuelewa ana maana gani bahati.
Kigwangallalaa alishindwa preliminaries za CCM, alikuwa wa tatu. Wa kwanza alikuwa disqualified kwa sababu ni illegal alien, wa pili Selelii, a Richmonduli celebrity aliyekuwa adui ndani ya Chama. Ndio CCM kuwaengua wote wawili kumuokota figurehead wa tatu awe candidate. Na yeye mwenyewe ali survive criminal scandal la kufoji majina ya vyeti.
Ndo maana anasema ana bahati, mpe pongezi ya kuwa mkweli, hakustahili. Kwanza cheki anavyoanza remarks zake "Oyaaa..." hata gravitas ya Ubunge hana.