Wakuu naomba na mimi nafasi japo nipate kuchangia kidogo, Programming kwa hapa kwet Tanzania ni Janga la kitaifa kama ilivyo kwa masoma ya Hisabati.Kwani kiukweli hakuna chuo cha serikali labda kama vipo vya binafsi vyenye waalimu ambao ni competent kwenye maeneo hayo.Si hivyo tu bali bado syllubus za vyuo vyetu havimuandai mwanafunzi kua programmer zaidi ya kufundishwa Introduction ya programming languages kama C++,Pascal,Visual Basic, etc, na jinsi ya kutengeneza very miner programas kam kujumlisha moja na mbili, with alote of blah blah katika masuala ya msingi kama arrays, linkers etc, Mitaala ya vyuo vyetu hakuna inaposisitiza katika masuala haya na wala serikali zetu na mashirika yetu ya binafsi ama hata costech wamekua hawaweki msisitizo wowote wa kuwafanya vijana wetu waconsentrate katika fani hiyo. Kwani katika kila mradi tumekua tukitafuta consultants kutoka nchi za nje,tukinunu software kutoka nje kwa kisingizia kuwa proffessionals katika eneo hilo hakuna wakati tunaruhusu certifications kam OCA,MCSTP etc, na kuwaita watu wenye vyeti hivyo kuwa eti ndo MaICT gurus.
Sijui tutafika wapi na changamoto mpya ya CLOUD computing ambapo watu wote waliosoma IT watakua ni watazamaji kwa sababu maanalist na maprogrammer wa MArekani, India, Uingereza na kwingineko wataweza kutoa support hukohuko walipo kwa kutumia clremote login.
Sijui tutafika wapi na changamoto mpya ya CLOUD computing ambapo watu wote waliosoma IT watakua ni watazamaji kwa sababu maanalist na maprogrammer wa MArekani, India, Uingereza na kwingineko wataweza kutoa support hukohuko walipo kwa kutumia clremote login.