hivi kumbeba mpenzio beach ni kosa? and wengine wanaenda beach kuenjoy ule mchanga, by the way asili ya beach kuna mchanga wa kutosha tu so unategemea uende beach usimame juu ya mawe?Muda fulani nilikuwa nikijivinjari kijibaridi hapa Coco huku natembea huku na kule kila baada ya hatua mbili watu wamebebana, wengine wako mchangani yaani ni shaghala baghala
Aisee kuwe na sheria ya kufanya mambo ya faragha public this is too much
Muda fulani nilikuwa nikijivinjari kijibaridi hapa Coco huku natembea huku na kule kila baada ya hatua mbili watu wamebebana, wengine wako mchangani yaani ni shaghala baghala
Aisee kuwe na sheria ya kufanya mambo ya faragha public this is too much
Saaa nyingine ni vizuri kupata fresh air ............
ARV feki kitu gani wakati kuna HIV feki siku hizi
Teh teh teh!Wewe Crashwise unatabia mbaya sana,yaani wewe mbayaa!!!waache wale tunda kama vipi na wewe uweunaenda na wa kwako
Wakwangu yuko busy kwenye Uamsho
Muda fulani nilikuwa nikijivinjari kijibaridi hapa Coco huku natembea huku na kule kila baada ya hatua mbili watu wamebebana, wengine wako mchangani yaani ni shaghala baghala
Aisee kuwe na sheria ya kufanya mambo ya faragha public this is too much
Hapafai piaGuest mnazoenda hizo njoo hapa giraffe hamna kunguni wala papasi