Club gani inapiga ngoma za kitambo(Old School Rap & Rnb)

Hivi Horace Brown aliishia wapi? Maana baada ya 'Things we do for love' ndio sikumsikia tena..
Nafikiri jamaa alitoa album mbili tu halafu ndio ikawa kwishney ila sasa hivi atakuwa mtu mzima sana
 
Kuna makundi ya ukweli around 80's kuja 90's kama akina NEXT LEVEL, SILK, SHAI, AFTER 7, BOYZ TO MEN, JODECI, H-TOWN, NEW EDITION, BLACK STREET, GUY, IMMATURE, TONY TONI TONE, MINT CONDITION, DRU HILL, 112 ukisikiliza nyimbo zao hadi leo hazijachuja kabisa
 
Wakati mwengine unaenda club ukiwa na hope ya kusikia zile za kale, matokeo yake utajikuta unakaa mpaka asubuhi unakunywa mpaka unalewa na hamna cha maana kinachopigwa. ni crunks na bongo flava hasa hasa kiduku!
 
Natafuta nyimbo za Keith Martin aisee nimejaribu kuzitafuta sana sizipati. nimejaribu hata kwa mtandao but hamna kitu. mwenye idea tafadhali tusaidiane jamaa alikuwa na nyimbo nzuri sana huyu (rnb)
 
Natoka nje ya mada kidogo.

Huu wimbo wa RiRi ni bomba sana, lakini video yake ni Mhhhh! Sijui huyu binti anaelekea wapi. Asipowahiwa na mapema kabla hali haijawa mbaya sana basi anaweza kuharibikiwa kabisa.



Rihanna Sparks Rumours 'We Found Love' Music Video Based On Chris Brown Fight

Watch behind-the-scenes clip here...

By Alicia Adejobi on Monday 17th October 2011 Photo by Doug Meszler / Splash News
171011_rihanna3a.jpg




Rihanna has sparked rumours that the forthcoming music video for her current number one hit 'We Found Love' is based on her fight with ex-boyfriend Chris Brown.

The 23-year-old has released a behind-the-scenes clip showing how the video was created and brief interviews with the songstress herself. RiRi hand picked the male lead for the visuals and he bares some resemblence to her ex-boyfriend Chris who also had blondehair at one point.
There is also a scene in the video where RiRi and her 'pretend' boyfriend are sitting in the car which has sparked speculation that she based the video loosely on the fight that happened between herself and Breezy.
In the behind-the-scenes clip, RiRi said: "We've never done a video like this before. It's super fun; it's probably one of the deepest videos I've ever done. It's all about love and love being like a drug, you definitely get that from this. The good feelings of it and the dangers of it... that's what this video is about."
 
Last edited by a moderator:
France limits viewing of Rihanna's new video
Nov. 21, 2011, 1:01 AM EST
WENN Rihanna has sparked a backlash in France after her "We Found Love" video was deemed too raunchy for daytime viewers. Officials at the Supreme Audiovisual Council of France have banned the video from airing on TV before 10 p.m. due to its explicit content.
Bing: Rihanna's new album
Authorities criticized Rihanna's "self-destructive" behavior in the video, which features the singer smoking cigarettes, shoplifting and being spanked. She is also cited for appearing in scenes of "pronounced suggestive" content with British boxer/model Dudley O'Shaughnessy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom