JacksonMichael
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 339
- 61
Umeshasema umeikuta taarifa katikati na umeshtuka toka usingizini, huenda ulikuwa unaota mkuu!
kibonde alipewaga kasuti na jk nayeye akawa magamba hakuwaga hivyo pomba ni hando na pj tuu.wengine wote magambaziii!!!
Watakosa radha ya kusikilizwa na kutazamwa kama yaliyowakuta Orijino Komedy (Masanja na wenzake...)Wacha tu walambe viatu vya mafisi adi.watajibeba tu muda c mrefu!
Sio tangazo lao, lile ni tangazo la CDM. Ile ni biashara, unapeleka tangazo lako unalipia linatangazwa kama lilivyo.Lakini mbona wametoa mchango mkubwa sana katika kuhamasisha uchangiaji wa CHADEMA kule ausha katika tangazo lao?
Vipi Cloud ingetoa hotuba ya Vincent Nyerere na Mgombea Nasari kisha ikasema gazeti lililopatikana ni Tanzania Daima pekee. Ungekuja kulaumu kwa kuipendelea CDM? bila shaka sivyo ndivyo.
Oh, kumbe mimi niko nyuma sana ya muda, sikujua kama huyu bwana yupo huko! Now Atleast...Jaribuni kumsikiliza Masoud Kipanya na timu yake times fm kwenye sunrise ni mbadala pb!
Nilikuwa busy usiku kucha. nikalala saa kumi na nusu alfajiri kushtuka nikakuta PB on saturday ambayo wanapitia mambo yote muhimu ya wiki.Nilipoamka ili kusikiliza & nikakuta wameipa coverage hotuba ya merry Nagu kwenye kampeni za arumeru mashariki. Merry anavyojinadi kwa mambo aliyoyawezesha wakati akiwa waziri wa viwanda na biashara.
Baadae wakampa coverage Sioyi Sumari akajinadi nikategemea kumsikia Nasari na Vicent wapewe nao ola. Labda kama walianza nao ndipo nitawaelewa! Sasa nilipojua kwamba sio bahati mbaya kwenye mapitio ya magazeti wakadai wamepata matatu tu! JAMBO LEO, MAJIRA na MTANZANIA! sasa Jambo leo si ni la magamba! habari iliyosomwa kwa kirefu ni propaganda za jambo leo!Kwamba CCM wameshamaliza kazi!
My take:
Kwanini tunailalamikia clouds? kwa miaka mingi tumekuwa tunaiheshimu kwa uwezo wao wa kutoa burudani na ubunifu. Leo Peoples station mtakubalije kuwa CCM Station? Hivi kweli SUPER BRAND mnaweza kuamua kutuvunja moyo vijana kiasi hiki? Tunajua magamba wanaweza kuwavamia kwa kuwa wanajua mnainfluence ya vijana lakini kwani si wote tunajua vijana wa sasa hawataki kufanywa wajinga?
AU MMEJISAHAU?
ahaaaa kumbe!Ndugu yangu ngoja nikwambie je ujui jambo leo ni la magamba?linamilikiwa na Malinzi?