Clouds FM na unazi wao kwa CCM

Nilikuwa busy usiku kucha. nikalala saa kumi na nusu alfajiri kushtuka nikakuta PB on saturday ambayo wanapitia mambo yote muhimu ya wiki.Nilipoamka ili kusikiliza & nikakuta wameipa coverage hotuba ya merry Nagu kwenye kampeni za arumeru mashariki. Merry anavyojinadi kwa mambo aliyoyawezesha wakati akiwa waziri wa viwanda na biashara.

Baadae wakampa coverage Sioyi Sumari akajinadi nikategemea kumsikia Nasari na Vicent wapewe nao ola. Labda kama walianza nao ndipo nitawaelewa! Sasa nilipojua kwamba sio bahati mbaya kwenye mapitio ya magazeti wakadai wamepata matatu tu! JAMBO LEO, MAJIRA na MTANZANIA! sasa Jambo leo si ni la magamba! habari iliyosomwa kwa kirefu ni propaganda za jambo leo!Kwamba CCM wameshamaliza kazi!

My take:
Kwanini tunailalamikia clouds? kwa miaka mingi tumekuwa tunaiheshimu kwa uwezo wao wa kutoa burudani na ubunifu. Leo Peoples station mtakubalije kuwa CCM Station? Hivi kweli SUPER BRAND mnaweza kuamua kutuvunja moyo vijana kiasi hiki? Tunajua magamba wanaweza kuwavamia kwa kuwa wanajua mnainfluence ya vijana lakini kwani si wote tunajua vijana wa sasa hawataki kufanywa wajinga?

AU MMEJISAHAU?
Ndugu yangu ngoja nikwambie je ujui jambo leo ni la magamba?linamilikiwa na Malinzi?
 
Kutokana na yule
mtangazaji wao
kibonde kuwa mnazi
sana na ccm kaiha
ribu radio
 
Kutakuwa na manufaa bosi wao anapata kutoka ccm. Ila hao watangazaji si wanatumika tu! Hawawezi kuwa na upeo zaidi ya mishahara yao
 
Nawasikitikia wale vijana shababi wote wasikilizao clouds radio ya ccm. Miliacha siku nyingi sana kuisikiliza hiyo radio from 2010. Pale ambapo kibonde alipoonyesha kuipendelea wasiwasi ccm na kuiponda waziwazi cdm hewani tena kwenye redia inayodaiwa kuwa ni ya wat na siyo ya ccm. Nilikipenda sana kili=e kipindi cha jahazi, siku yangu ilikuwa haipiti bila kusikiliza na nilikuwa lazima nicheke kwa utangazaji wao. Lakini kwa dosari hile aliyoionesha kibonde. Sijawahi kusikiliza tena.

Its better tukaanzisha kampeni ya zuia kusikiliza clouds ccm radio. Nyumbani, ofisini, kwenye daladala na kwingineko.

Umenikumbusha sababu ilyonifanya niichukie hiyo redio.Siku hizi nasuza roho yangu Super mix kwa Zembwela.Alafu clauds kama hawajui siku hizi vijana wanatendwa na mtu mmoja wanachukia ukoo mzima,nikimaanisha kwa baya litamkwalo na Fm kidomo inachukiwa media nzima ya claud.
 
hawa na Michuzi blog hawapishani,kero tu,watu tuna hasira sana,wapo biased kwa vijisenti
 
Vipi Cloud ingetoa hotuba ya Vincent Nyerere na Mgombea Nasari kisha ikasema gazeti lililopatikana ni Tanzania Daima pekee. Ungekuja kulaumu kwa kuipendelea CDM? bila shaka sivyo ndivyo.
kwa taarifa yako sinunuagi Tanzania Daima wala uhuru wala jambo leo wala tazama tanzania wala rai wala al-nuur! ukombozi wa tanzania ni muhimu kuliko mahaba na vyama!
 
Ni ukweli usiofichika kwa Cloudsfm ile kauli mbiu yao ya Redio ya watu wameshindwa kuitendea haki sasa imebakia kuwa redio ya baadhi watu hasa-haswa walioko madarakani na kuwasifia viongozi wa CCM.
 
Ni kweli Hando, PJ na Kayanda huwa wanabalance. Kibonde anajifanyaga anajua kila kitu wakati hajui, ni mpiga debe tu. kama unasikiliza jahazi utagundua kayanda ana upeo mkubwa mara elfu moja ya kibonde ila kibonde anapenda kudominate to the extent ya kugombana. wangefungua kipindi cha comedy kingewafaa sana. ila Hando yuko nondo sana jamaa na kwa mtazamo wangu he is my reason 4 listening 2 pb.
 
Jamani ile siyo redio ya umma,ni redio binafsi hivyo ipo huru kufanya itakavyo!!Mbona ratiba ya CLUB BILICANAS ya kila wiki inapewa promo ya kutosha na hao hao clouds?wenzenu wanafanya biashara na labda kufanya hivyo kunawasaidia kwa namna flani.
 
Vipi Cloud ingetoa hotuba ya Vincent Nyerere na Mgombea Nasari kisha ikasema gazeti lililopatikana ni Tanzania Daima pekee. Ungekuja kulaumu kwa kuipendelea CDM? bila shaka sivyo ndivyo.

Hatutaki upendeleo wowote,wawe balance wasi-bias upande wowote!!
 
Tatizo lipo wapi, Clouds ni media ya mtu binafsi, so wanaweza kuchagua cha kutangaza chochote watakachojisikia.
 
Clouds station ni kinara wa kuchochea maswala yote yasiyo na tija kwa watanzania.
Hii station ina ulimbukeni flani unaotumika kuwadumaza akili baadhi ya vijana hasa ambao hawana elimu na waliokosa exposure.
 
kwani hamkumbuki walimfanyia mh. Sherehe ya birthday ya miaka 60.inaonekana hawalipi mapato km wengine walivyosema
 
Hivi kwanini kila siku mnalalamikia hii RADIO CLOUDS FM? Afterall unlike TBC1 and TBC radio Taifa haiendeshwi kwa kodi zetu. Mbona kuna media outlet nyingi tu.

Mimi niliacha kusikiliza CLOUDS FM, tangia 2010 baada ya kuona iko biased towards CCM. Sijui kabisa kinachotangazwa huko. Labda majuzi tu niliposama humu JF kwamba mtangazaji wake Kibonde aliwanga madaktari.
 
Back
Top Bottom