RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Je jamaa wanafanya biashara au, maana Mbeya hamna FM ya maana na zote zinaongea ujinga ujinga tu. Bora clouds kidogo ilikuwa inabadilisha mazingira.
Ukimuuliza kila mwenyeji wa hapa wanasema n habari za siasa kaka, je tutafka kama kila kitu ni siasa jamani? Naombeni majibu wadau au kama kuna staff wa clouds ajibu umu ndani kwenye jamii maana sisi ni wana jamii.
Nawakilisha toka Mbeya Tauna
Ukimuuliza kila mwenyeji wa hapa wanasema n habari za siasa kaka, je tutafka kama kila kitu ni siasa jamani? Naombeni majibu wadau au kama kuna staff wa clouds ajibu umu ndani kwenye jamii maana sisi ni wana jamii.
Nawakilisha toka Mbeya Tauna